Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

app gani hio? jaribu speedtest

Screenshot_20171013-153257.png
 
Intaneti ya siku 7.Pata GB 10 kwa Sh 10000 tu zakutumia kwa siku 7. Piga *149*03*1# kujiunga na Ofa hii.
 
36526811d30941516f87717493fa1039.jpg


Hiyo ni ttcl miye ninapata LTE na hiyo ndo speed yake maeneo ya kunduchi. Usiku lile bando la night nikipanga mafile yangu kama ya 10gb kudownload dk 10 tuu nimemaliza mchezo
 
Back
Top Bottom