Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,709
- 981
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AirtelKwa mtandao gani?!
Chuo gani?
Hebu tupe vifurushi vya chuo vya vodaNaona yakwako ni TTCL 4G nami nimefanya yangu Vodacom 3G hii hapa mda huu.
![]()
Kwako naona ping ipo vizuri 11ms sio mchezo
Hebu tupe vifurushi vya chuo vya voda
Hawana vifurushi vya internet vya usikuUkiangalia page ya kwanza vilishawekwa humu ila sio mbaya hivi hapa..!!
Kwa siku
![]()
Kwa wiki
![]()
Ping ina kazi gani mkuu ebu nipe maelezo kiasiNaona yakwako ni TTCL 4G nami nimefanya yangu Vodacom 3G hii hapa mda huu.
![]()
Kwako naona ping ipo vizuri 11ms sio mchezo
usijali wanunulie kitochi waeke humo, ndio wanapostahili kukaaTigo tumelala zetu, hatuna cha ofa wala nini?
wapi hii mkuuTigo 4G
Pamoja hawana 0fa nzuri huwa mara chache naunga bando nikiwa na shida ya live streaming
![]()
Mitaa ya mlimani hukuwapi hii mkuu
Ni kweli kwa nilipo tigo wanaspeed tamu ila vifurushi vyao sasa mb200 kwa buku ni vichekeshousijali wanunulie kitochi waeke humo, ndio wanapostahili kukaa