Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Tigo 4G
Pamoja hawana 0fa nzuri huwa mara chache naunga bando nikiwa na shida ya live streaming
a107fab3a9fe2b2e60d189915ad072bc.jpg
Kwenye speed wako vizuri hata niliko mimi lakin bando zao sasa
 
Samahani wakuu.....hivi muhimu ni download iwe kubwa mfano 17 au PING mfano 100

Ipi ni muhimu kuwa kubwa ?
ping inatakiwa iwe ndogo, na download speed iwe kubwa.

ping ni ule muda unaotumia kuomba kitu kwenye server na kuletewa.

mfano unapoingia google kile kitendo cha kuandika google.com na kupress enter ule muda unaosibiria hadi ile site ya google unaiona ndio ping au wengine wanasema latency.

ukiwa na ping ndogo itakusaidia
-kwenye kubrowse
-kuangalia kitu live kama mpira
-kupiga simu online au video call etc.

unaweza ukawa na speed kubwa hata 100mbps ila kama ping yako sio nzuri utashindwa hata kuangalia mpira online.
 
ping inatakiwa iwe ndogo, na download speed iwe kubwa.

ping ni ule muda unaotumia kuomba kitu kwenye server na kuletewa.

mfano unapoingia google kile kitendo cha kuandika google.com na kupress enter ule muda unaosibiria hadi ile site ya google unaiona ndio ping au wengine wanasema latency.

ukiwa na ping ndogo itakusaidia
-kwenye kubrowse
-kuangalia kitu live kama mpira
-kupiga simu online au video call etc.

unaweza ukawa na speed kubwa hata 100mbps ila kama ping yako sio nzuri utashindwa hata kuangalia mpira online.
6e869a0b41fd551dac9d40934dddf8bf.jpg

Nimeanza kukuelewa mkuu
Mfano hii PING 27 ms ni ndogo ila kilichoniponza hapa ni download speed ndogo
Si ndio ?
 
6e869a0b41fd551dac9d40934dddf8bf.jpg

Nimeanza kukuelewa mkuu
Mfano hii PING 27 ms ni ndogo ila kilichoniponza hapa ni download speed ndogo
Si ndio ?
hapo vyote vipo sawa mkuu, unless unataka kuangalia video za quality kubwa sana kama full HD au 4K, ila matumizi ya kawaida hio speed na ping ipo sawa.
 
ping inatakiwa iwe ndogo, na download speed iwe kubwa.

ping ni ule muda unaotumia kuomba kitu kwenye server na kuletewa.

mfano unapoingia google kile kitendo cha kuandika google.com na kupress enter ule muda unaosibiria hadi ile site ya google unaiona ndio ping au wengine wanasema latency.

ukiwa na ping ndogo itakusaidia
-kwenye kubrowse
-kuangalia kitu live kama mpira
-kupiga simu online au video call etc.

unaweza ukawa na speed kubwa hata 100mbps ila kama ping yako sio nzuri utashindwa hata kuangalia mpira online.
Utajuaje hii PING ni ndogo mkuu inatakiwa iwe kwenye ngapi ili nifanye vyote kama quality video,streaming,downloading speed na vinginevyo?ahsanteh
 
Utajuaje hii PING ni ndogo mkuu inatakiwa iwe kwenye ngapi ili nifanye vyote kama quality video,streaming,downloading speed na vinginevyo?ahsanteh
unaangalia kwenye hio app inaonesha ping kwa mobile data ikiwa chini ya 50ms sio mbaya, internet za waya zinakuwa na ping ndogo zaidi unakuta ni 2ms au 1ms.
 
Wakuu unaweza change tecno j5 kutoka 3g kwenda 4g?,maana nimesikia tetesi iyo kitu yawezekana.
 
Back
Top Bottom