Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mkuu Pengobovu Ahsante Kwa kuniunga mkono, mwenye uhitaji wa Tigo gb 6.5 Kwa buku 9, 5.5 Kwa buku 7 na 8.5 Kwa 12 karibuni Sana
[emoji115][emoji115][emoji115]Mteja unakipia nakupata huduma hakuna kusubri
 
Mkuu Pengobovu Ahsante Kwa kuniunga mkono, mwenye uhitaji wa Tigo gb 6.5 Kwa buku 9, 5.5 Kwa buku 7 na 8.5 Kwa 12 karibuni Sana
[emoji115][emoji115][emoji115]Mteja unakipia nakupata huduma hakuna kusubri
Ni kwa mda gan hivi vifurushi boss
 
Nipo dar,kuna sehemu pale tegeta nyuki stend niliona internat cafe ,kuulizia akasema huduma ipo ila mtandao unasumbua ,sa sijajua anatumia kifaa gani,pia mazingira si rafiki sana mana ni stend pale pele.
Anafanya 1k kwa saa na kuendelea
Huku kigamboni zipo kibao
 
Mkuu kwako shemeji atatuchoka mapema,wazee wakuperuzi tukizama kwenye net tunachukua mda kidogo hivyo inaweza kupelekea tabu kwa hawa ndugu zetu [emoji3][emoji3]
Hahaha chief mimi sina makazi maalum hapa nakaa mwenyewe na vijana wangu wa dukani shemeji yako tulishindwana kitambo now naishi kisela sela tu ...ndio maana nimewakaribisha magetoni hata siku moja moja ukijisikia kuja kulala njoo ulalee pia gheto la masela[emoji16][emoji188]
 
Hahaha chief mimi sina makazi maalum hapa nakaa mwenyewe na vijana wangu wa dukani shemeji yako tulishindwana kitambo now naishi kisela sela tu ...ndio maana nimewakaribisha magetoni hata siku moja moja ukijisikia kuja kulala njoo ulalee pia gheto la masela[emoji16][emoji188]
Vzuri sana kaka,ee bwana nitakucheki mkuu siku moja tuje tupige majungu kidogo hapo [emoji2][emoji2] huku tunapakua madude mdogo mdogo,Shukrani sana mkuu
 
GB 5=Tsh 9000
GB 6=Tsh 11000
GB 7=Tsh 12000
GB 9=Tsh 13000
GB15=Tsh19000
GB23=Tsh 24000
GB31=Tsh32000
GB40=Tsh37000
GB50=Tsh45000
GB66=Tsh 60000
GB80=Tsh 70000
GB110=Sh90000
[emoji115][emoji115][emoji115]Ni halotel tu zinaneda Hadi miezi mitatu interested pm please
 
GB 5=Tsh 9000
GB 6=Tsh 11000
GB 7=Tsh 12000
GB 9=Tsh 13000
GB15=Tsh19000
GB23=Tsh 24000
GB31=Tsh32000
GB40=Tsh37000
GB50=Tsh45000
GB66=Tsh 60000
GB80=Tsh 70000
GB110=Sh90000
[emoji115][emoji115][emoji115]Ni halotel tu zinaneda Hadi miezi mitatu interested pm please
Unaamaanisha hizi ni monthly packages au qaurterly packages?
 
Kwa wanaotumia Voda supakasi, hivi hupati changamoto yoyote ya internet ifikapo saa2 na dk40 usiku mpaka saa4 na dk30?
voda kawaida tu hua inazingua hizi wiki mbili,
 
Back
Top Bottom