Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Hili tatizo kwangu sio la wiki mbili. Tangu nitumie hii supakasi miaka miwili na ikifika mida hiyo inaanza kuwa slow mpaka ifike mida ya saa5 ndo inarudi normal speeds
Tusubiri maoni ya wadau
 
Wakuu ile 5G unlimited ya Airtel 10Mbps mwanzoni kabisa unalipia pesa ngapi!?
  • Weka kwenye laini yako ya Airtel TZS. 270,000
  • Katika kukusajiri: Utapewa mwongozo na utalipia kupitia Airtel TZS. 200,000 kwanza.
  • Then kabla ya kukamilisha ctivation utahitajika tena kulipia TZS. 70,000 (kwa 10Mbps )
Pia hakikisha unaenda na copy ile yenye TIN number yako | Kuna hatua katika usajiri watahitaji.

Kila lakheri.
AirTel amekuwa mkombozi kwangu.
 
Mkuu nikifanya Ivo Ina sema Mac address is incorrect?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…