mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Hahaha mimi ndio nawatumia hawa jamaa wapo vzrWamechelewa, watu tumeshajibebea router zetu wanategemea nini?😀😀
Kwa ambao tumepanga, router ni user friendly maana unaweza move nayo kwenda mahali popote hata ukihama✅
Mkuu kila nikijaribu ku install WhatsApp messenger inaniandikia WhatsApp can't be installed because the package is in conflict with an existing package.View attachment 2811527
217GB kwa siku 12 | Makadilio kwa siku 1, Natumia 18GB |
Una WhatsApp ngapi kwene simu yako? Hii hutokea endapo kama unatumia official whatsapp afu unataka kuinstall Whatsapp Plus and vice-versa.. Hiyo sababu ya kwanza yapili ni pale ambapo uli uninstall whatspp ila haikumaliza ku uninstall completely labda process ilikua interrupted (huenda simu yako ilizima ghafla wakati ikiwa ina uninstall)so kuna packages zimebaki em jaribu kusaka folder la whatsapp afu lifute afu jaribu tena ku install..Mkuu kila nikijaribu ku install WhatsApp messenger inaniandikia WhatsApp can't be installed because the package is in conflict with an existing package.
Tatizo linaweza kuwa nini? Natumia Samsung galaxy A14.
Nime clear caches, data nakadhalika but problem still exists.
Wanatoa router unaweza nenda nayo popote kama airtel??Na wao skuizi wanatoa router
[emoji23][emoji23]Kwa watumiaji wa airtel je naweza pewa line peke yake bila router au ni vyote kwa pamoja lazima nilipie???
Asubuhi hii ttcl nimewapita wanachimbia nguzo za fiber sio mbali sana na ninapokaa...
Sijafanikiwa kuongea nao chochote maana nilikuwa kwenye bodaboda...
View attachment 2807002
View attachment 2807003
View attachment 2807007
Asubuhi hii ttcl nimewapita wanachimbia nguzo za fiber sio mbali sana na ninapokaa...
Sijafanikiwa kuongea nao chochote maana nilikuwa kwenye bodaboda...
View attachment 2807002
View attachment 2807003
View attachment 2807007
Kwenye simu[emoji23][emoji23]
sa utaitumiaje?
Changanyikeni ndio wapi mkuu😀😀Karibu Changanyikeni ndugu.
router ya airtel ipo kuna ndugu yangu alinunuaga ya 5g ila ni ile ukieka laki gb 150 sijui sio unlimited sasa nataka line nipate alafu router nikae na hii umu[emoji23][emoji23]
sa utaitumiaje?
Nimejaribu kutafuta kila folder lenye neno WhatsApp nimefuta ila bado shida ipo pale pale.Una WhatsApp ngapi kwene simu yako? Hii hutokea endapo kama unatumia official whatsapp afu unataka kuinstall Whatsapp Plus and vice-versa.. Hiyo sababu ya kwanza yapili ni pale ambapo uli uninstall whatspp ila haikumaliza ku uninstall completely labda process ilikua interrupted (huenda simu yako ilizima ghafla wakati ikiwa ina uninstall)so kuna packages zimebaki em jaribu kusaka folder la whatsapp afu lifute afu jaribu tena ku install..
Rooter ya airtel bei gani mkuu?Wamechelewa, watu tumeshajibebea router zetu wanategemea nini?[emoji3][emoji3]
Kwa ambao tumepanga, router ni user friendly maana unaweza move nayo kwenda mahali popote hata ukihama[emoji736]
Tafuta simu nyingine eidha ya rafiki yako kisha weka application ya xshare.Nimejaribu kutafuta kila folder lenye neno WhatsApp nimefuta ila bado shida ipo pale pale.
Hapa ninatumia WhatsApp Business ambayo ni official app na nyingine Aero WhatsApp.
Hata nikifuta hii aero WhatsApp bado itaniandikia kuna conflict of existing package.
Nilikuwa na WhatsApp plus nikadhani ndiyo inayosababisha WhatsApp messenger isi install nika uninstall lakini shida ni ile ile mkuu.
Kwa matumizi ya nyumbani, router unailipia 200k kama security deposit, kisha unalipia na kifurushi unachotaka ambavyo vinaanzia 70k..Rooter ya airtel bei gani mkuu?
Haya yote maumivu tu mkuu! Unlimited ndio maisha kwa sasa.
TTCL wana package za Streamers ambazo zina upload speed kubwa kushinda Download sema kuungiwa ndio kimbembe,Nina shida ya kustream live ibada ni mtandao gani unaweza kuwa na kasu
Vizuri sana mkuu, ni official tayari? Ukiwa na Tin na lipa no unapewa? Ama kuna longo longo nyengine
Folder utakalofuta kawaida haitasaidia.Nimejaribu kutafuta kila folder lenye neno WhatsApp nimefuta ila bado shida ipo pale pale.
Hapa ninatumia WhatsApp Business ambayo ni official app na nyingine Aero WhatsApp.
Hata nikifuta hii aero WhatsApp bado itaniandikia kuna conflict of existing package.
Nilikuwa na WhatsApp plus nikadhani ndiyo inayosababisha WhatsApp messenger isi install nika uninstall lakini shida ni ile ile mkuu.