Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Chief out of mada kidogo

Sehem nilipo Kuna shida ya Umeme

It means nipo na wapangaji wenzangu so kwenye suala la Umeme kidogo imekua changamoto

Kuna vimita nimeviona sehem ni kama zile sub meter zile zinazo usika na kuesabia uniti ulizo tumia ila hii inakua tofaut kidogo yenyewe inahesabu na unaweza weka Umeme wako mwenyew

Nimejalibu kuulizia TANESCO wamesema vile Kuna baadhi ya company ndio wanafanya installation ya vile
Kuna YOYOTE anaweza kuwa anauelewa navyo Nataka niweke mitta yangu mwenyew TANESCO wanaitaji mkwaja mrefu ila kupitia Ivo vimita naweza kupata kwa bei rahisi kidogo
Mi sikushauri ununue hivyo vi submiters

Ni vya kiwaki tu kama ukijua utendaji wake wa kazi.

Ni kwamba vile vidude ili uweke umeme lazima ununue kupitia main meter ambapo ili ku transfer hizo unit kwenda kwenye hicho kidude kuna kuwa na account unapewa ambapo uta log in utahamisha hizo unit kutoka kwenye main meter kwenda kwenye hiyo sub meter.

Sasa ikitokea ile main meter umeme umeisha basi huku kwako pia umeme lazima utakata. Bila kujalisha kuwa kwenye sub meter yako kuna unit nyingi

Kwa maana hiyo ili uweze kuendelea kutumia umeme wako wa kwenye submiter ni lazima main meter iwe na unit.

Kwa hiyo kama kuna wenzako wanamatumizi makubwa ya umeme na ukafikiria kuepuka kero hiyo ni kununua hiyo submiter.

Utakuwa umetatua mzozo wa kunyooshewa kidole kuwa una matumizi makubwa na hivyo kuambiwa ulipie umeme pale utakapokuwa umeisha.

Ila kama lengo ni kuepukana na kero ya kukatika umeme kutokana na matumizi makubwa basi hapo utakuwa huja solve kitu.
 
Wasnge wangekufa njaa walikuwa wanajidai wana mikazo haya sasa kiko wapi?

Airtel ndio amekuja kufanya mageuzi kila mtu anayekuja saizi na unlimited plan lazima average iwe 70K

Voda wao Mbps 20 wanaiuza kwa 110K na tigo wanauza 100K halafu mbaya zaidi Voda hawana package ya 70K

Voda nawapa miezi kadhaa lazima waanze kukaa nyuma ya mpira.
Voda wateja wamewakimbia saivi wapo airtel kwanza wao usipolipa wanalimbikiza madeni ni kausha damu
 
Mi sikushauri ununue hivyo vi submiters

Ni vya kiwaki tu kama ukijua utendaji wake wa kazi.

Ni kwamba vile vidude ili uweke umeme lazima ununue kupitia main meter ambapo ili ku transfer hizo unit kwenda kwenye hicho kidude kuna kuwa na account unapewa ambapo uta log in utahamisha hizo unit kutoka kwenye main meter kwenda kwenye hiyo sub meter.

Sasa ikitokea ile main meter umeme umeisha basi huku kwako pia umeme lazima utakata. Bila kujalisha kuwa kwenye sub meter yako kuna unit nyingi

Kwa maana hiyo ili uweze kuendelea kutumia umeme wako wa kwenye submiter ni lazima main meter iwe na unit.

Kwa hiyo kama kuna wenzako wanamatumizi makubwa ya umeme na ukafikiria kuepuka kero hiyo ni kununua hiyo submiter.

Utakuwa umetatua mzozo wa kunyooshewa kidole kuwa una matumizi makubwa na hivyo kuambiwa ulipie umeme pale utakapokuwa umeisha.

Ila kama lengo ni kuepukana na kero ya kukatika umeme kutokana na matumizi makubwa basi hapo utakuwa huja solve kitu.
Sikuwa naelewa utendaji wake wa kazi

Kama niivyo basi bado naitajika tu kwenda TANESCO
 
Ipo sokoni bei 100k (mazungumzo yapo) ni used ila still kama mpya.. kila kitu chake kipo router yenyewe, power cable pamoja na ethernet cable.

Location: Mwanza Buzuruga.

Mawasiliano 0767 744 254

PXL_20231201_100233975.jpg
PXL_20231201_094550804.jpg
PXL_20231201_094602369.jpg
 
Me nimewapitia juu ya kichwa. Nimemtumia msg CEO wao wa Tigo twitter Kama unalazimishwa uchukue router ili upate hiyo huduma. Saivi naenda kuchukua line tu, router nawaachia wenyewe
Vile vi router wauze kwa gharama nafuu kama 50k hivi, ili wapate wateja wengi.
Sasa watu wanaviuza 600k si uwaki huu
 
Vile vi router wauze kwa gharama nafuu kama 50k hivi, ili wapate wateja wengi.
Sasa watu wanaviuza 600k si uwaki huu
Router za 5G ni ghali, hizo za 4G unapata kwa 50K huko Tigo.

Hapo watoe tu huduma ya vifurushi router tutafute wenyewe, ama walete modem za 5G za bei rahisi tuchomeke kwenye router zetu, kutupangia router ya bei parefu.
 
Router za 5G ni ghali, hizo za 4G unapata kwa 50K huko Tigo.

Hapo watoe tu huduma ya vifurushi router tutafute wenyewe, ama walete modem za 5G za bei rahisi tuchomeke kwenye router zetu, kutupangia router ya bei parefu.
Balaa

TTCL wamefikia wapi, maana walitangaza fiber imefika Tanzania nzima, nipo huku Mikumi nimeenda shop yao aisee wanasema hiyo huduma haijafika kabisa mpaka nimeshangaa
 
Asante kaka mimi nina watu wangu kumi tayari so nivumilie tu hiyo ya 110000 kwa mwezi hizo 30mbps zitatufaa??
In Theory yes mkuu, sema speed ni up to, hawa guarantee kama utapata yote 30mbps. Assume eneo lako halina 5G unapata 4G, tena ya kuvizia unaweza shangaa unapata 2mbps ama 5mbps tu.

Ushauri akija huyo Bi dada kama ana router ya kutestia cheki kabisa signal kama inakamata 5G na speed ni kiasi gani. Kuna utofauti baina ya mitandao ya simu na Fiber linapokuja suala la kupata speed unayolipia.
 
Back
Top Bottom