nichorous chacha
New Member
- Apr 23, 2014
- 2
- 6
Mi sikushauri ununue hivyo vi submitersChief out of mada kidogo
Sehem nilipo Kuna shida ya Umeme
It means nipo na wapangaji wenzangu so kwenye suala la Umeme kidogo imekua changamoto
Kuna vimita nimeviona sehem ni kama zile sub meter zile zinazo usika na kuesabia uniti ulizo tumia ila hii inakua tofaut kidogo yenyewe inahesabu na unaweza weka Umeme wako mwenyew
Nimejalibu kuulizia TANESCO wamesema vile Kuna baadhi ya company ndio wanafanya installation ya vile
Kuna YOYOTE anaweza kuwa anauelewa navyo Nataka niweke mitta yangu mwenyew TANESCO wanaitaji mkwaja mrefu ila kupitia Ivo vimita naweza kupata kwa bei rahisi kidogo
Me nimewapitia juu ya kichwa. Nimemtumia msg CEO wao wa Tigo twitter Kama unalazimishwa uchukue router ili upate hiyo huduma. Saivi naenda kuchukua line tu, router nawaachia wenyeweNimeenda ofisini kwao wanataka Ununue router laki 6 kupata hivyo vifurushi. Umehakiki ukiunga kawaida inakubali?
Hapana unatumia na router yao ni laki 6Hivi ni vifurushi kwa simu au kwa Router?
Yani kila mtu anayetumia tigo anaweza kununua?
Voda wateja wamewakimbia saivi wapo airtel kwanza wao usipolipa wanalimbikiza madeni ni kausha damuWasnge wangekufa njaa walikuwa wanajidai wana mikazo haya sasa kiko wapi?
Airtel ndio amekuja kufanya mageuzi kila mtu anayekuja saizi na unlimited plan lazima average iwe 70K
Voda wao Mbps 20 wanaiuza kwa 110K na tigo wanauza 100K halafu mbaya zaidi Voda hawana package ya 70K
Voda nawapa miezi kadhaa lazima waanze kukaa nyuma ya mpira.
Naunga mkono hoja 👍👏Tigo ni wezi,watawaliza wengi
Sikuwa naelewa utendaji wake wa kaziMi sikushauri ununue hivyo vi submiters
Ni vya kiwaki tu kama ukijua utendaji wake wa kazi.
Ni kwamba vile vidude ili uweke umeme lazima ununue kupitia main meter ambapo ili ku transfer hizo unit kwenda kwenye hicho kidude kuna kuwa na account unapewa ambapo uta log in utahamisha hizo unit kutoka kwenye main meter kwenda kwenye hiyo sub meter.
Sasa ikitokea ile main meter umeme umeisha basi huku kwako pia umeme lazima utakata. Bila kujalisha kuwa kwenye sub meter yako kuna unit nyingi
Kwa maana hiyo ili uweze kuendelea kutumia umeme wako wa kwenye submiter ni lazima main meter iwe na unit.
Kwa hiyo kama kuna wenzako wanamatumizi makubwa ya umeme na ukafikiria kuepuka kero hiyo ni kununua hiyo submiter.
Utakuwa umetatua mzozo wa kunyooshewa kidole kuwa una matumizi makubwa na hivyo kuambiwa ulipie umeme pale utakapokuwa umeisha.
Ila kama lengo ni kuepukana na kero ya kukatika umeme kutokana na matumizi makubwa basi hapo utakuwa huja solve kitu.
Uhuru na msimbazi kama unatokea Mnazi mmoja ni upande wa kushoto na kama unatokea ilala ni kulia kwako.Chief_mkwawa samahani nipo hapa kko naomba unielekeze kwenye wanauza router used
Nipo maeneo haya naona watu kama hawajui vileeUhuru na msimbazi kama unatokea Mnazi mmoja ni upande wa kushoto na kama unatokea ilala ni kulia kwako.
Utaona watu wengi wanauza uza remote Kuna jamaa yupo ndani ana router used nyingi.
Kuna moja ya zuku nimeona hofu yangu isijekuwa zuku nao wameilimit tuUhuru na msimbazi kama unatokea Mnazi mmoja ni upande wa kushoto na kama unatokea ilala ni kulia kwako.
Utaona watu wengi wanauza uza remote Kuna jamaa yupo ndani ana router used nyingi.
Uliunga kile cha 70000 je speed yake inafaa kustream online tv huku umeshare na wenzio?? Nataka niwakimbie hawa fiber router yao imeharibika wananizingua kuniletea nyingineMwezi ulioisha nimetumia 1.4TB
Lakini nilikuwa nashea na wadau ila matumizi yao sio makubwa.
Mkuu hiii ina faa kustream na kudownload na wenzako wangapi..kuna dada ananiletea kesho kabla sijachukua naomba ushaurii=
- Matandao | Airtel
- Package | 10Mbps
View attachment 2823002
Hadi Muda huu (24.11.2023) nimetumia | 412GB
Vile vi router wauze kwa gharama nafuu kama 50k hivi, ili wapate wateja wengi.Me nimewapitia juu ya kichwa. Nimemtumia msg CEO wao wa Tigo twitter Kama unalazimishwa uchukue router ili upate hiyo huduma. Saivi naenda kuchukua line tu, router nawaachia wenyewe
10mbps kwa 1080p kama wawili kwa 720P 3 hadi 5. Inategemea na Quality na bitrate pia, na assume quality kama youtube.Mkuu hiii ina faa kustream na kudownload na wenzako wangapi..kuna dada ananiletea kesho kabla sijachukua naomba ushaurii
Router za 5G ni ghali, hizo za 4G unapata kwa 50K huko Tigo.Vile vi router wauze kwa gharama nafuu kama 50k hivi, ili wapate wateja wengi.
Sasa watu wanaviuza 600k si uwaki huu
BalaaRouter za 5G ni ghali, hizo za 4G unapata kwa 50K huko Tigo.
Hapo watoe tu huduma ya vifurushi router tutafute wenyewe, ama walete modem za 5G za bei rahisi tuchomeke kwenye router zetu, kutupangia router ya bei parefu.
Asante kaka mimi nina watu wangu kumi tayari so nivumilie tu hiyo ya 110000 kwa mwezi hizo 30mbps zitatufaa??10mbps kwa 1080p kama wawili kwa 720P 3 hadi 5. Inategemea na Quality na bitrate pia, na assume quality kama youtube.
In Theory yes mkuu, sema speed ni up to, hawa guarantee kama utapata yote 30mbps. Assume eneo lako halina 5G unapata 4G, tena ya kuvizia unaweza shangaa unapata 2mbps ama 5mbps tu.Asante kaka mimi nina watu wangu kumi tayari so nivumilie tu hiyo ya 110000 kwa mwezi hizo 30mbps zitatufaa??