Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #1,281
unaweza kueka vipya? maana naona voda bado wanavyo vifurushi maalum vizuri ila kwa line ambazo hazijawahi kujiunga. na ukijiunga tu mara moja vinapotea.Mkuu Chief-Mkwawa Unge update kwenye huo uzi kuna daadhi ya bundle zimechange.
i think airtel is the best kwenye bando halafu tigo hata unishikie binduki siitaki halotel wezi wa gb voda vibakaKwa nin nihame AIRTEL...[emoji780]hatupimi bando for SURE
kifurushi chao cha usiku ni 4gb kwa shilingi 1,500. sio kizuri.Kwema wakuu? Hivi voda wana kifurushi gani kizuri cha usiku??
Njoo PMAise mwenye utaalamu na hiki kitu msaada plse wa maelekezo jinsi ya kuitumiaView attachment 784415
*147*00# namba moja ofa chap chapMenu ipi hiyo mkuu?
Tigo 4g wana kifurushi kipi cha usiku.??kifurushi chao cha usiku ni 4gb kwa shilingi 1,500. sio kizuri.
kama eneo lako lina TTCL 4g wao wanatoa 10gb kwa shilingi 1000 hawa ndio best kwa muono wangu. ila inaanza saa sita usiku.
pia kama kuna tigo 4g tafuta line ya zantel kwa 1500 utapata 8gb na halotel utapata 10gb kwa 1500.
Sijawahi kununulia simu kwa hapa shySio kwa Manase au Sadick?
kijana voda washafuta hiko kifurushi cha uciku hawana tena nimetafuta mpaka nikaomba pookifurushi chao cha usiku ni 4gb kwa shilingi 1,500. sio kizuri.
kama eneo lako lina TTCL 4g wao wanatoa 10gb kwa shilingi 1000 hawa ndio best kwa muono wangu. ila inaanza saa sita usiku.
pia kama kuna tigo 4g tafuta line ya zantel kwa 1500 utapata 8gb na halotel utapata 10gb kwa 1500.
sifahamu hili, ngoja na mimi nitakitafuta na kuleta feedback.kijana voda washafuta hiko kifurushi cha uciku hawana tena nimetafuta mpaka nikaomba poo
kweli wameondoa, kuna haja ya kuwaza kwingineHalafu voda wameondoa zile bundle za usiku kwenye uni-ofa zao!
Zamani 1500 ilkuwa 1GB+1GB night
2500 ilkuwa 2GB+2GB night sasa hakuna tena!
Ni mtandao gani umebaki wenye hiduma nzuri kwa bundle la chuo?
View attachment 806461
Usilalamike sana ni hatua kuelekea Tanzania ya Viwanda....... na bado.....Vodda wamenkera kuitoa line yng ofa ya chuo na line yao nmeweka kabatini