Kajole hii kitu naipataje Mkuu?Vodacom wana kifurushi kinaitwa "choice Bando" hiki ni kifurushi maalum unaungwa kwa 20,000/= unapewa GB60 kwa miezi 6 yaan kila mwezi unapewa GB10 View attachment 946610
Risk yake ni nini hii??Processs ni
Uwe na sm tajwa
Dawnload app mtk engineering mode
Then ingia mtk seting
Then nenda cds information
Then nenda mtk information
Then nenda radio information
Then click sim one
Then andika E herufikuwa kama hvo
Then chagua ..... 1.7""
Then katkat ya hzo alama za funga semi weka code mfano .....1.7"35444400076357888"
baada ya hapo weka nafas moja mbele ya +
Then bonyeza SEND AT COMMAND
IKIkuandikia send at command is ok jua umepatia but okiandika ERROR kwenye processes kuna sehem umekosea
Ikiandika ok zima sm then washa
Baada ya kuwasha simu cha kufanya nenda kwenye phone then bonyeza *#06# itatokea imei mbili moja ya juu itafanana na code niliyo kutumia
Baada ya hapo kama imei ya juu na chini hazijafanaana cha kufanya rudia process now baada ya kubonyeza E mbele ya + now click .......1.10 badala ya 1.7
Then malizia process zote kama apo juu zima sm na kuwasha cheki imei zikifanana juu na chini na code nilokutumia ushafanikisha
Last process unatuma neno Zawadi kwenda 15300 kwenye laini ya vodacom iliyopo kwenye sim inayosapoti bando
Hizo code ni kwa laini moja tu yaan ikishatumika haitumiki tena!. Na hizi code ndizo zinazouzwa wanakuwa nazo wenyew wafanyakaz wa voda.Risk yake ni nini hii??
Kutumia iyo app ya MTK kwasababu kuna sehemu unatakiwa uchange IMEI ya simu yako which is against the lawRisk yake ni nini hii??
Mkuu hizo code zimekataa nimejaribu mpaka 1.11Processs ni
Uwe na sm tajwa
Dawnload app mtk engineering mode
Then ingia mtk seting
Then nenda cds information
Then nenda mtk information
Then nenda radio information
Then click sim one
Then andika E herufikuwa kama hvo
Then chagua ..... 1.7""
Then katkat ya hzo alama za funga semi weka code mfano .....1.7"35444400076357888"
baada ya hapo weka nafas moja mbele ya +
Then bonyeza SEND AT COMMAND
IKIkuandikia send at command is ok jua umepatia but okiandika ERROR kwenye processes kuna sehem umekosea
Ikiandika ok zima sm then washa
Baada ya kuwasha simu cha kufanya nenda kwenye phone then bonyeza *#06# itatokea imei mbili moja ya juu itafanana na code niliyo kutumia
Baada ya hapo kama imei ya juu na chini hazijafanaana cha kufanya rudia process now baada ya kubonyeza E mbele ya + now click .......1.10 badala ya 1.7
Then malizia process zote kama apo juu zima sm na kuwasha cheki imei zikifanana juu na chini na code nilokutumia ushafanikisha
Last process unatuma neno Zawadi kwenda 15300 kwenye laini ya vodacom iliyopo kwenye sim inayosapoti bando
Ni vyema ukasema na njia za kujiungaVodacom wana kifurushi kinaitwa "choice Bando" hiki ni kifurushi maalum unaungwa kwa 20,000/= unapewa GB60 kwa miezi 6 yaan kila mwezi unapewa GB10 View attachment 946610
Hizo code ni kwa laini moja tu yaan ikishatumika haitumiki tena!. Na hizi code ndizo zinazouzwa wanakuwa nazo wenyew wafanyakaz wa voda.Mkuu hizo code zimekataa nimejaribu mpaka 1.11
Kuna link hapo nimetuma fuata maelekezo vizurMbonA Mimi Hiyo CDS information haitokei nikibonyeza connectivity
Hizi code ni mpaka upewe au uwe mtundu wa mtandao huwezi kujaribu tu zikakubali mi nishaunga mara 2 sema laini tofauti ukishaunga mara moja huwezi kuunga tena na kazi ya kubadili laini tu kila baada ya miezi 6[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Processs ni
Uwe na sm tajwa
Dawnload app mtk engineering mode
Then ingia mtk seting
Then nenda cds information
Then nenda mtk information
Then nenda radio information
Then click sim one
Then andika E herufikuwa kama hvo
Then chagua ..... 1.7""
Then katkat ya hzo alama za funga semi weka code mfano .....1.7"35444400076357888"
baada ya hapo weka nafas moja mbele ya +
Then bonyeza SEND AT COMMAND
IKIkuandikia send at command is ok jua umepatia but okiandika ERROR kwenye processes kuna sehem umekosea
Ikiandika ok zima sm then washa
Baada ya kuwasha simu cha kufanya nenda kwenye phone then bonyeza *#06# itatokea imei mbili moja ya juu itafanana na code niliyo kutumia
Baada ya hapo kama imei ya juu na chini hazijafanaana cha kufanya rudia process now baada ya kubonyeza E mbele ya + now click .......1.10 badala ya 1.7
Then malizia process zote kama apo juu zima sm na kuwasha cheki imei zikifanana juu na chini na code nilokutumia ushafanikisha
Last process unatuma neno Zawadi kwenda 15300 kwenye laini ya vodacom iliyopo kwenye sim inayosapoti bando
we tapeliKuna link hapo nimetuma fuata maelekezo vizur
😎Processs ni
Uwe na sm tajwa
Dawnload app mtk engineering mode
Then ingia mtk seting
Then nenda cds information
Then nenda mtk information
Then nenda radio information
Then click sim one
Then andika E herufikuwa kama hvo
Then chagua ..... 1.7""
Then katkat ya hzo alama za funga semi weka code mfano .....1.7"35444400076357888"
baada ya hapo weka nafas moja mbele ya +
Then bonyeza SEND AT COMMAND
IKIkuandikia send at command is ok jua umepatia but okiandika ERROR kwenye processes kuna sehem umekosea
Ikiandika ok zima sm then washa
Baada ya kuwasha simu cha kufanya nenda kwenye phone then bonyeza *#06# itatokea imei mbili moja ya juu itafanana na code niliyo kutumia
Baada ya hapo kama imei ya juu na chini hazijafanaana cha kufanya rudia process now baada ya kubonyeza E mbele ya + now click .......1.10 badala ya 1.7
Then malizia process zote kama apo juu zima sm na kuwasha cheki imei zikifanana juu na chini na code nilokutumia ushafanikisha
Last process unatuma neno Zawadi kwenda 15300 kwenye laini ya vodacom iliyopo kwenye sim inayosapoti bando
Hizi code ni mpaka upewe au uwe mtundu wa mtandao huwezi kujaribu tu zikakubali mi nishaunga mara 2 sema laini tofauti ukishaunga mara moja huwezi kuunga tena na kazi ya kubadili laini tu kila baada ya miezi 6[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona Tigo wanajitahidi tu kutoa offer.....!View attachment 951391View attachment 951393
OK,mkuu nimekupata!Hizi ziko customized, siyo kila mmoja anapata hizo.
Kwamba unatumia internet free auFuata hii video na ayo maelezo hapo juu