Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

ttcl mpango mzima nyumbani kumenoga 10gb saa sita usiku kwa buku.unaweka list ya movie kwenye torrent ukiamka mzigo safi
Kifurush cha chuo wanatoa GB Ngapi Kwa mwezi?
 
Vifurushi vya Voda, vinavyoandikwa na kile unachotumia haviendani, Haiwezekani ndani ya 3GB kwa kuperuzi kwenye JF ukaimaliza ndani ya Dakika 10! Vifurushi vilivyopo sio halisia unavyonunua kwenye mfumo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…