Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
oky, je likiisha inawezekana ukarudia process ika'accept?Simu yoyote, isipokuwa kujiunga ni lazima uwe na simu tajwa
Inasemekana kuwa haiwezekan bali kwa kubadili laini.oky, je likiisha inawezekana ukarudia process ika'accept?
Kweli kabisa,fanya mpango fasta ujiungeImetulia sana
Huwa line Moja mara Mojaa mzee baba..!!Hii kitu kuna jamaa aliunga kwa tsh 10,000/=, Gb 30 kwa miezi mitatu, kila mwezi napata gb 10 na huu ndo mwezi wa mwisho itabidi tu nimtafute tena kama hii huduma bado .
Kweli kabisa,fanya mpango fasta ujiunge
Binafsi sina taarifa za kutosha za kujiunga, ila ukipata mtu ambaye ni mwaminifu toka ndani ya kampuni ya voda atakusaidia.Niko interested na hicho kifurushi najiungaje mkuu let do some bussness kaka
Huwa line Moja mara Mojaa mzee baba..!!
Risk yake ni Nini?Iki wajanja wa mjini wanajiunga kwa kutumia MTK sema ni risk.
kubadili imei namba ya simu, hivyo TCRA wanaweza wakakudaka & kukushtakiRisk yake ni Nini?
Ok mkuu nimekusomaNi kosa
kubadili imei namba ya simu, hivyo TCRA wanaweza wakakudaka & kukushtaki
inatakiwa unabadili kwa ajili ya kifirushi then unarudisha tena IMEI yakoNi kosa
kubadili imei namba ya simu, hivyo TCRA wanaweza wakakudaka & kukushtaki
Naam.inatakiwa unabadili kwa ajili ya kifirushi then unarudisha tena IMEI yako
Naam.
Ila jaman tushirikishane hivyo vifurushi tafadhali.
Wapo wanaodai kuwa bado vipo, na wengine wanadai kuwa vimesitishwahivi bado vipo?
Imekaa njema mno naipataje mkuu?ni habari za kweli