spleeingiant
Senior Member
- Oct 24, 2016
- 138
- 45
unawezaje kuongeza speedPia halotel kifurushi chao cha unlimited cha 1000 wanachokupa mb200 cha siku kikiisha wanabana speed yao huwezi kudownload au kustream video YouTube vizuri ila kama una application ya startimes unastream channel za startimes bila tabu.
Hii ni baada ya mb walizotoa kuisha wakabana speed nikawa najaribu kustream video YouTube zikawa zinaganda ila star times peke yake nikaona haisumbui wameshindwa kuibania speed ndio nikawa naitumia hiyo mb zao 200 za kasi zikikata.unawezaje kuongeza speed
Hii inapatikana kwenye menyu ya kawaida tu. Kuna week 5000 gb 10
Na siku gb 4 kwa 1000
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
menu ipiHii inapatikana kwenye menyu ya kawaida tu. Kuna week 5000 gb 10
Na siku gb 4 kwa 1000
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
menu ipi
Hakuna cha wiki kingine cha chin ya elf5?Hii inapatikana kwenye menyu ya kawaida tu. Kuna week 5000 gb 10
Na siku gb 4 kwa 1000
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
Mh! Labda inategemeana na sehemu ulipo, ila huku ninapokaa mambo yako hivyo. Mchana speed iko poa ila ikigonga saa mbili tu kama unapakua movie basi utasubiri sanaSio kweli mimi natumia speed kubwa sana nashusha kitu cha gb 1 haizid nusu saa
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
Mh! Labda inategemeana na sehemu ulipo, ila huku ninapokaa mambo yako hivyo. Mchana speed iko poa ila ikigonga saa mbili tu kama unapakua movie basi utasubiri sana
Mkuu,hiyo week 5,000 gb10 ni mtandao gani ?Hii inapatikana kwenye menyu ya kawaida tu. Kuna week 5000 gb 10
Na siku gb 4 kwa 1000
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
Mkuu,hiyo week 5,000 gb10 ni mtandao gani ?
Kwa menu ipii mkuu???????? Au ni offer maalumuTtcl
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.