Dark mode
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 732
- 867
Nawezaje kubadilisha namba yangu ya voda kua na vifurushi vya chuo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kasi ya kobe, page 1 inaweza funguka dakika 5, ni chini ya kb10 kwa sekunde.hii Royal bando ya halotel 10000 unapewa intanet bila kikomo lkn GB 2 zakasi. asa mi sijaelewa zile GB 2 za kasi je zikiisha naendelea kuperuz kwa kasi ya 2G au 3G??
waizi sana, na siungi ng'oooKwa kasi ya kobe, page 1 inaweza funguka dakika 5, ni chini ya kb10 kwa sekunde.
voda ndo hapo huwa naikubali 3gb siku 5 na kwa speed nzuri ajabu.
Kuna kipindi voda ilikuwa ukimaliza 2gb zako wanashusha hadi 64kbps, ile angalau ulikuwa unaweza ukastream youtube low quality na kuperuzi bila shida.waizi sana, na siungi ng'ooo
hiyo tigo ni kifurushi gani??Vodacom nishawahama kitambo nipo Tigo na Halotel. Voda kila siku wanapunguza vifurushi tu, 500-dk 19 (voda-voda) na sms 50 wakati Tigo napata dk 60 na dk 5 mitandao mingine, sms 500 na 550 mb. Napewa ofa dk 10 mitandao yote, na sms 50 za kutumia siku 3. Kuna kifurushi cha 2500 kina dk za kutosha na gb km 2 na ushee hivi ila wananiboa net yao haina speed kbs na km unatumia modem utatamani uzime data.
Hii bob unaipata hata kama sio lain ya chuoTTCl bandika bandua,1000 wanakupa 4GB.
3.5GB usiku kuanzia 20:00-06:00,af 500MB zilizobaki kuanzia 06:00-20:00
Hicho kifurushi TTCL unapata GB 4 bila ya kikomohii Royal bando ya halotel 10000 unapewa intanet bila kikomo lkn GB 2 zakasi. asa mi sijaelewa zile GB 2 za kasi je zikiisha naendelea kuperuz kwa kasi ya 2G au 3G??
hicho sio unlimited tena kwa sisi tunao download sana
Ni bila kikomo kinaitwa jiachiehicho sio unlimited tena kwa sisi tunao download sana
Izo gb nne raia tunafuta ndani ya masaa tuhicho sio unlimited tena kwa sisi tunao download sana
wakati umepewa gb 4 unajiachiaje hapo kwa mfano
umejaribu kuitumia? labda inategemea na eneo ulipo...nimeitumia na hata hizo 2 gb zilipokwisha nimeendelea ku stream video youtube bila tatizo lolote.Kwa kasi ya kobe, page 1 inaweza funguka dakika 5, ni chini ya kb10 kwa sekunde.
halotel?umejaribu kuitumia? labda inategemea na eneo ulipo...nimeitumia na hata hizo 2 gb zilipokwisha nimeendelea ku stream video youtube bila tatizo lolote.
hii laini ni mpya tangu imezinduliwa, ina kama mwezi mmoja na wiki mbili hivi, ninatumia hili bando la Royal hivi sasa na hizo 2 gb zimeshakwisha lakini bado naangalia video youtube...kama nilivyosema awali inategemea na eneo ulipo ndio maana unashindwa kupata speed nzuri.halotel?
Ndio huwa nakitumia kila baada ya miezi kadhaa kupima speed. Mara ya mwisho umetumia lini? Unaweza ukaweka speed baada ya bando la kawaida kuisha?
Hichi ulikua unajiungaje