Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Halotel wametoa vifurushi vya 4G kuendana na line zao mpya za 4G,
1000 unapata GB 1 kwa siku
5000 unapata GB 7 kwa wiki
10,000 unapata GB 10 kwa mwezi.

Hicho Cha wiki kina value nzuri Sana.

Kukipata piga *148*66# Kisha chagua internet then vifurushi vya 4G.
Kwa Upande wa Halotel ya kawaida
Screenshot_20190910-191349.jpeg
 
Mwenye ramani ya coverage ya 4G ya halotel....
Au iko dar tu
Halotel wametoa vifurushi vya 4G kuendana na line zao mpya za 4G,
1000 unapata GB 1 kwa siku
5000 unapata GB 7 kwa wiki
10,000 unapata GB 10 kwa mwezi.

Hicho Cha wiki kina value nzuri Sana.

Kukipata piga *148*66# Kisha chagua internet then vifurushi vya 4G.
 
Hicho kifurushi kipo kwenye menyu ya kawaida tu *147*00# then saizi yako.....ni tsh 10000 sasa kama hauna kwenye saizi yako kuna mtu anaunga ila bei inaongezeka kidogo......kama unahitaji utaniambia nikuunganishe naye mkuuView attachment 1191293
nahitaji hii naomba uniunge mkuu, njoo inbox tuyajenge mimi sina hiyo option
 
Mwenye kuunganisha voda chuo na tigo kile Cha elfu kumi gb 10
 
Hicho kifurushi kipo kwenye menyu ya kawaida tu *147*00# then saizi yako.....ni tsh 10000 sasa kama hauna kwenye saizi yako kuna mtu anaunga ila bei inaongezeka kidogo......kama unahitaji utaniambia nikuunganishe naye mkuuView attachment 1191293
Mimi nikiingia kwenye menu yangu tigo mbona sipati hivi vifurushi ?
 
Hii ndio hunipa kiburi asee, sema speed sio nzuri kihivyo. Inawezekana ni sababu ya eneo nililopo. Tigo hiyo.
IMG_20190921_133632_384.JPG
 
Dah wakuu kuirudisha au kuipata ofa ya tigo buku1 GB1wiki inakuaje?
Maana hii menu siioni tena wakati ilikuwepo ila nilipochange laini ya 4G tu ikawa majanga siipati tena
 
Mtandao gani nitaweza kupata japo 1GB kwa 1000 japo kwa wiki?
 
Back
Top Bottom