Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Since when mkuu?
Acha kujisahaurisha aisee...

Nimekuwekea screenshot tulishawahi kuchat kuhusu kuunganisha bando la halotel, na hii uliweka mwenyewe post kwenye jukwaa la Series kuwa unaunganisha vifurushi kwa bei nafuu..

Nikakutumia 5k ukapigwa kimya hadi kesho, kila nikikuchek unaleta matatzo kbao mara..

Sasa nakuomba tu acha utapeli mkuu,

Au unataka niwekee na screenshot za sms kabsa?
IMG_20200809_110412.jpg
Screenshot_2020-08-09-11-02-21-09.jpg
 
Acha kujisahaurisha aisee...

Nimekuwekea screenshot tulishawahi kuchat kuhusu kuunganisha bando la halotel, na hii uliweka mwenyewe post kwenye jukwaa la Series kuwa unaunganisha vifurushi kwa bei nafuu..

Nikakutumia 5k ukapigwa kimya hadi kesho, kila nikikuchek unaleta matatzo kbao mara..

Sasa nakuomba tu acha utapeli mkuu,

Au unataka niwekee na screenshot za sms kabsa? View attachment 1531865View attachment 1531867
Weka screenshot
 
Back
Top Bottom