Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Okay Mr kiuno ni mwanifu sina kupinga kwa sasa..
Ametoka kuniunga mda si mrefu na natwanga tigo tigo bila salio hilo ni la uhakika...
Ila namshauri awe wazi kabla ya kuunga kifurushi chake aseme ukweli unaweza piga tigo tigo moja kwa moja bila kikwazo chochote ila kupiga mitandao mingine ni mpaka uingize code...which kwa mimi ni kama usumbufu na hilo jambo angeniambia mapema ingekua vyema sana...
Sababu kuu wakati mwingine nakua busy na nahitaji kupiga simu za haraka sitakua na mda wa kuingiza code na kutoa na kuweka tena...
Asante kwa huduma yako kaka.
Ametoka kuniunga mda si mrefu na natwanga tigo tigo bila salio hilo ni la uhakika...
Ila namshauri awe wazi kabla ya kuunga kifurushi chake aseme ukweli unaweza piga tigo tigo moja kwa moja bila kikwazo chochote ila kupiga mitandao mingine ni mpaka uingize code...which kwa mimi ni kama usumbufu na hilo jambo angeniambia mapema ingekua vyema sana...
Sababu kuu wakati mwingine nakua busy na nahitaji kupiga simu za haraka sitakua na mda wa kuingiza code na kutoa na kuweka tena...
Asante kwa huduma yako kaka.