Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

20mbps ni speed ya internet ambayo unapata 2.5 MB per sec na 30mbps ni speed ya internet ambayo unapata 4MB per sec mkuu
Wanacalculate vip mkuu
Mbps = Megabits kwa sekunde
MBps = Megabytes per second

Kubadili megabits ziwe megabytes unazidisha x 0.125

20 Mbps x 0125 = MB 2.5 kwa sekunde
30 Mbps x 0125 = MB 3.75 kwa sekunde
 
Sio lazima uende tigo shop..

bonyeza hiyo link hapo chini, utajaza form then utapigiwa Simu na agent wao ndani ya 12 hrs mzigo unakuwa tayari




View attachment 2342351View attachment 2342352

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
Ok. Mimi nililazimika kujaza fomu na kuweka sahihi yangu. Pia ndicho walichonielekeza tiGO customer care baada ya kuwapigia simu kwamba ni LAZIMA nifike ofisini kujaza mkataba.
 
Ok. Mimi nililazimika kujaza fomu na kuweka sahihi yangu. Pia ndicho walichonielekeza tiGO customer care baada ya kuwapigia simu kwamba ni LAZIMA nifike ofisini kujaza mkataba.
Kam ni kwel watakuwa na offer nzur sana
Screenshot_2022-09-01-22-23-58-946_com.android.chrome.jpg
 
Mbps = Megabits kwa sekunde
MBps = Megabytes per second

Kubadili megabits ziwe megabytes unazidisha x 0.125

20 Mbps x 0125 = MB 2.5 kwa sekunde
30 Mbps x 0125 = MB 3.75 kwa sekunde
Exactly boss wang
 
Emu ngojeni kwanza. Hivi halotel fb ya bure na mtelezo freebasics wameshaizima hiyo huduma kwa wateja wao sio
 
Insta naonaga waungaji wa vifurushi n wengii ivi kuna wanaounga kwel au janja janja,, au kama kuna mtu anaunga kifurushi asee ivi vya mwigulu na mama ake vtatuua[emoji119][emoji23]
Naunga internet from Voda Post paid Karibu
 
Back
Top Bottom