Nimejarinu inasema siko eligible kwenye hii service,,je nafanyajethanx nimeshabupdate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejarinu inasema siko eligible kwenye hii service,,je nafanyajethanx nimeshabupdate
Dah! Inauma sana [emoji24][emoji24] na ndio mtandao wenye kasi zaidiHata sisi tulokua tunatumia wameondoa bando kwenye zile menu, ni msiba
wanazingua tu saiviDah! Inauma sana [emoji24][emoji24] na ndio mtandao wenye kasi zaidi
mkuu umereply text ya 2017 hapoNimejarinu inasema siko eligible kwenye hii service,,je nafanyaje
Zipo Router ambazo zinakuwa na tatizo binafsi ambalo halihusishi mtandaoWakuu naomba tips za kufanya hii router ya Airtel unlimited inipe Kasi nzuri, ni siku ya pili sasa tangu niinunue pale mlimani City kifurushi Cha 10Mbps.
Iko slow sana mfano YouTube inafunguka kwa shida sana tena low quality 144k na hapo taa ya 4G inawaka na ya kijani pia, isipokuwa tu ya 5G..
Huku upande mwingine, kwenye line ya kawaida ya Airtel kwenye simu Iko vizuri tu sana.
Nashidwa kuelewa shida nini same internet provider lakini Kasi changamoto kwenye hiyo Router haifiki hata 300kb/s
Dah nime trace hio comment ni toka 2017, jiunge vipya mkuu vya karibuni, mTandao Gani una access nao?Nimejarinu inasema siko eligible kwenye hii service,,je nafanyaje
Shukrani mkuu ngoja nifanye hivyoZipo Router ambazo zinakuwa na tatizo binafsi ambalo halihusishi mtandao
Router ya rafiki yangu ilikuwa na tatizo hilo tulicuofanya ni kuwasiliana na team leader aloyetuletea.
Akatuachia Router nyingine wakati ile akienda nayo ofisini kwa ajili ya kuifanyia diagnosis.
Baada ya siku kadhaa alituletea ikiwa iko fresh tukamrudishia ile Router yake.
So nakushauri utumie njia hiyo pia
Lakini umejaribu kuangalia signal strength kwenye control panel jinsi zinavyo display?Shukrani mkuu ngoja nifanye hivyo
Wired au hata Wireless Dex?Nyengine hio uliotajiwa juu live football tv mod isio na matangazo, sema hii haikubali remote ya tv inataka mouse. Naitumia Mimi kwenye simu na Samsung dex kwenye tv, ipo vizuri nayo.
Muda wote bar ziko full mkuuLakini umejaribu kuangalia signal strength kwenye control panel jinsi zinavyo display?
Mfano mimi hapa nimetoka na Router somewhere na hizi ndio signal ambazo zinaonekana kwenye control panel
Sasa vipi upande wako hizo bars za mnara zinaonekana vipi?
View attachment 2885008
Note: kwa Router yangu hata signal bars zikiwa na vijiwe viwili bado sipati buffering wala mkwamo wa speed.
Usijipe hope sana na hao watu, kama una backup nyingine ni vyema ukajiweka tayari kwa loloteNashukuru kwa taarifa, naona leo walinitumia haka kaujumbeView attachment 2883622
Wired, S20.Wired au hata Wireless Dex?
na kwambia tenaaa 5g bongo hakn boss miaka 5 nyuma before 5g kuanza kupigiwa kelele na Western countries NASA walikuwa wanagonga 900mb to 1gb mb na 4g ndo walikuwa wanatumia 5g ilipoingia mzigo ukawa upgrade trust mee niambie bongo nani anatumia 1gb hata office kubwa kubwa wanatumia 500 to 400 mbps mostly tena hapo wanatumia fiber so yeah they call 5g ila hata 4g yenyewe haijawa covered haswa the real 4g ambayo wenzetu kama South korea walikuwa wanatumia. kamchek watu wa tech youtube mfano nimeweka mkbhd uoneee 5g akitest insoma ngap halaf uniambie nani bongo anatumia 5gNani kakuambia Tanzania haifiki 500mbps? Unalipia kutokana na speed unayotaka mwenyewe, Tigo yao ni 1Gbps na Vodacom walianza na 400mbps nafkiri washa upgrade Hadi 1Gbps Sasa hivi, Airtel backbone yao ndio imezinduliwa juzi juzi ni 180Tbps hivyo vi speed vya 500mbps ni kama vitone tu kwenye bahari.
We ni yule mzee wa story za Vijiweni, ipo Gigabit LTE ila haimaanishi unapata exactly hio speed unless iwe ni kutest mitambo na upo mwenyewe mnara mzima, 4G Haina capacity.na kwambia tenaaa 5g bongo hakn boss miaka 5 nyuma before 5g kuanza kupigiwa kelele na Western countries NASA walikuwa wanagonga 900mb to 1gb mb na 4g ndo walikuwa wanatumia 5g ilipoingia mzigo ukawa upgrade trust mee niambie bongo nani anatumia 1gb hata office kubwa kubwa wanatumia 500 to 400 mbps mostly tena hapo wanatumia fiber so yeah they call 5g ila hata 4g yenyewe haijawa covered haswa the real 4g ambayo wenzetu kama South korea walikuwa wanatumia. kamchek watu wa tech youtube mfano nimeweka mkbhd uoneee 5g akitest insoma ngap halaf uniambie nani bongo anatumia 5g
nondo juu ya nondoWe ni yule mzee wa story za Vijiweni, ipo Gigabit LTE ila haimaanishi unapata exactly hio speed unless iwe ni kutest mitambo na upo mwenyewe mnara mzima, 4G Haina capacity.
5G ina capacity hata ya kuhudumia uwanja mzima wa mpira ndio maana Kila mTandao unaotoa 5G unatoa na Unlimited internet.
Na kukuhakikishia hio ni 5G angalia ping wanazopost wadau juu as low as 13ms nioneshe Dunia Gani ulioishi wewe 4G ikawa na hio ping.
Wakuu nilileta issue yangu mnisaidie [emoji1483][emoji1483][emoji1483]Wakuu naomba tips za kufanya hii router ya Airtel unlimited inipe Kasi nzuri, ni siku ya pili sasa tangu niinunue pale mlimani City kifurushi Cha 10Mbps.
Iko slow sana mfano YouTube inafunguka kwa shida sana tena low quality 144k na hapo taa ya 4G inawaka na ya kijani pia, isipokuwa tu ya 5G..
Huku upande mwingine, kwenye line ya kawaida ya Airtel kwenye simu Iko vizuri tu sana.
Nashidwa kuelewa shida nini same internet provider lakini Kasi changamoto kwenye hiyo Router haifiki hata 300kb/s
Zipo sema za gharama hiyo issue ni speed maana nyingi ni 3G, za 4G ni kuanzia 30 na kuendeleaHivi siku hizo modem zipo mitaani kweli? Kuna mtu alikuwa anahitaji ya mitandao yote.
Pesa mfuko wa shati 10,000