Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemaliza kuweka kifurushi, nikaunga data, with in a sec napokea sms.
Umetumia takribani 75% ya kifurushi chako. Tafadhali piga *102# kuangalia salio la kifurushi chako. Asante!
Je tutafika!
Naombeni namba za Elon pls
Tuchukue Hatua Madhubuti. Tusisubiri Tuzidi kuibiwa. Tunaweza Kuiga Kutoka Kwa Majirani.Ndugu Mwananchi mwenzangu, Serikali IMENIIBIA...
Umeibiwa alafu na wewe umetulia tu [emoji3]Ndugu Mwananchi mwenzangu, Serikali IMENIIBIA...
Mwisho wa siku tutafute hela bando haliishi [emoji3]Ulicho Andika ni sahihi kabisa kuna wizi mkubwa wa bando unaendelea chinichini kwanza wanakupa bando kidogo na hicho kidogo bado wakiibe
IIa kuna washauri wa hovyo Mara weka 3g ondoa 4g kwa hiyo Alie leta mada ajui Yote Hayo? Mijitu mingne ni mishamba sana badala ya kupinga wizi wa bando unao endelea wao wanajidai Ni Ma IT wa ushauri!! Tena ushauri fake!!
Kuna yule wakili mbobezi alianzisha haya mambo kilichoboreshws ni msisha yake.Nimemaliza kuweka kifurushi, nikaunga data, with in a sec napokea sms.
Umetumia takribani 75% ya kifurushi chako. Tafadhali piga *102# kuangalia salio la kifurushi chako. Asante!
Je tutafika!
Naombeni namba za Elon pls
Ndio. Tutafika tukiwa tumechoka sanaJe tutafika?
Namba za Elon hizi hapa +1 800 613 8840Naombeni namba za Elon pls
Unaweza itukana simu yako kumbe makosa ni ya kampuni ya airtel 🤣🤣Airtel ukiwa na kifurushi cha Wiki na kike cha masaa 24, cha ajabu kwenye matumizi kinaanza kutumika kile cha wiki, afu hiki cha 24 hrs wanakiacha, ili muda uishe tu kisitumike...
Airtel Mungu anawaona!!!!!!
wew Andazi Ulisha kuwa na postpaid ww ndio wengne waibiwe bando?Nani hatumii hiyo post paid? Unajiona mjanja kisa ww bando lako Ni postpaid? So kila mahali unatumie hiyo..Vijana acheni uvivu, tafuteni hela tujumuike pamoja post paid.
Si kweli, uongo huuAirtel ukiwa na kifurushi cha Wiki na kike cha masaa 24, cha ajabu kwenye matumizi kinaanza kutumika kile cha wiki, afu hiki cha 24 hrs wanakiacha, ili muda uishe tu kisitumike...
Airtel Mungu anawaona!!!!!!
Haliishi kivip ? We huna tofauti na wale watu ambao wakienda sehemu yenye watu wengi wanashika ufunguo wa Gari mkononi! Ili Ni nn Sasa!Mwisho wa siku tutafute hela bando haliishi [emoji3]
Aisee huwa wanatuma meseji za ofa uongoSintakaa nisahau Ofa feki hiii...4GB kufungua Pinterest kwa Dakika zisizofika 20, 4GB kwishaa mamayo Eateli. View attachment 2559646
Niliwanyea mitusi mana nilikuwa nimetoka kuweka vocha nijiunge waKaleta Hiyo offer.Aisee huwa wanatuma meseji za ofa uongo
Kunywa maji upumzike mkuu, acha kuleta hisia zako kali Kwenye vitu vidogo kama hivi, naomba tuishie hapo mkuu.Haliishi kivip ? We huna tofauti na wale watu ambao wakienda sehemu yenye watu wengi wanashika ufunguo wa Gari mkononi! Ili Ni nn Sasa!
Unataka nape ndio awe mtetezi wako haitoweza kutokea kama Elon Tu wanamfanyia figisu na ndio bilionea wa kwanza duniani vipi ww mmatumbi mla ugali na sukariNimemaliza kuweka kifurushi, nikaunga data, with in a sec napokea sms.
Umetumia takribani 75% ya kifurushi chako. Tafadhali piga *102# kuangalia salio la kifurushi chako. Asante!
Je tutafika!
Naombeni namba za Elon pls
Nimemaliza kuweka kifurushi, nikaunga data, with in a sec napokea sms.
Umetumia takribani 75% ya kifurushi chako. Tafadhali piga *102# kuangalia salio la kifurushi chako. Asante!
Je tutafika!
Naombeni namba za Elon pls
Mkuu unlimited inaishaje sasa?Haliishi kivip ? We huna tofauti na wale watu ambao wakienda sehemu yenye watu wengi wanashika ufunguo wa Gari mkononi! Ili Ni nn Sasa!