Vifurushi vya tigo Internet, ndio vinaisha kwa kasi kiasi hiki au ni wizi?

Vifurushi vya tigo Internet, ndio vinaisha kwa kasi kiasi hiki au ni wizi?

Jana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.

Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?

Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.

Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.

This is too much!
Tigo ni hataree😂😂😂😂
 
Nilichonote mimi, bando za reja reja zinaisha mapema sana. Na ni hasara sana ukifanya calculation. Bora hata post paid.

Kuna siku tigo nimeunga gb 17 ktk router. Watu wawili, hazijamaliza masaa 72. Ule mshtuko na hasira sikumbuki hata kirouter nilikitupa wapi🤣
 
Nilichonote mimi, bando za reja reja zinaisha mapema sana. Na ni hasara sana ukifanya calculation. Bora hata post paid.

Kuna siku tigo nimeunga gb 17 ktk router. Watu wawili, hazijamaliza masaa 72. Ule mshtuko na hasira sikumbuki hata kirouter nilikitupa wapi🤣
Hawa jamaa wanatuibia sana TCRA iwachunguze.
 
Kifupi: Voda na Halotel cheza nao mbali kama uchumi ni wa kuungaunga.
Mbona mimi ndo nazitumia hizo Voda na halotel na nainjoy sana. Bando unatumia hata kama imebaki 4MB unasoma Jf vizur tu
 
wengine wananunua cocha wwngine tunaingia mtandaoni bure😭😭😭

Hii Dunia ni msitu mnene

Tumia Tigo hio hio unapata free data ukiwa na hii vpn

mitandao mingine kaeni kwa kutulia
Screenshot_20240818-124736.jpg
 
Kuna jambo haliko sawa ila naamini Sana Mh,Jerry slaa atafanya jambo kuna wizi wala hilo haliitaji maelezo ni vile tu wanasheria wa tz hawajaona hii fulsa ya kushtaki haya makapuni kwa kuibia watu.Mtu umezima data unakuja kuangalia salio asubuhi unakuta hata mb100 hazipo ina maana wachawi walikuja kutumia simu yangh usiku dah...
 
Jana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.

Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?

Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.

Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.

This is too much!
Ukishangaa ya Tigo jaribu Halotel ndio balaa mpaka nimeamua kusitisha kujiunga virushi vyao
 
Kama unawalalamikia hivyo tigo wakati wengine tumetoka tulikotoka tukaona huku ndo kuna unafuu, basi tulia hukohuko usithubutu kuhamia voda, utavunja sim kwa hasira.
Vodacom umewasingizia copral, jitathmini.
 
Ukitaka kuenjoy bando za Voda na Tigo, Voda tumia Supakas na Tigo lipia bando kwa Post Paid, ila hizi bando za buku mbili mbili au tano kwa mwezi utatumia hata laki 3
 
Back
Top Bottom