Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #21
Voda nimewakimbia nikasema nijaribu tigo, kumbe nao ni balaa tupu.Kifupi: Voda na Halotel cheza nao mbali kama uchumi ni wa kuungaunga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Voda nimewakimbia nikasema nijaribu tigo, kumbe nao ni balaa tupu.Kifupi: Voda na Halotel cheza nao mbali kama uchumi ni wa kuungaunga.
Tigo ni hataree😂😂😂😂Jana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.
Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?
Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.
Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.
This is too much!
Kinachofanya bando uwone lina enda kama maji ni speed ya mtandao wakuuu...Voda nimewakimbia nikasema nijaribu tigo, kumbe nao ni balaa tupu.
Hawa jamaa wanatuibia sana TCRA iwachunguze.Nilichonote mimi, bando za reja reja zinaisha mapema sana. Na ni hasara sana ukifanya calculation. Bora hata post paid.
Kuna siku tigo nimeunga gb 17 ktk router. Watu wawili, hazijamaliza masaa 72. Ule mshtuko na hasira sikumbuki hata kirouter nilikitupa wapi🤣
Mbona mimi ndo nazitumia hizo Voda na halotel na nainjoy sana. Bando unatumia hata kama imebaki 4MB unasoma Jf vizur tuKifupi: Voda na Halotel cheza nao mbali kama uchumi ni wa kuungaunga.
We si hautaki tufunge ndoa niwe nakulea na kukuwekea vocha niwe shangazi wako mtiifuTigo ni moto wa kuotea mbali aiseeee
Ukishangaa ya Tigo jaribu Halotel ndio balaa mpaka nimeamua kusitisha kujiunga virushi vyaoJana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.
Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?
Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.
Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.
This is too much!
Itakuwa unaangalia sana 'reels' za insta, TikTok, Fb, nk, na zipo addictive. Hizo humeza mb kama maji ya kunywaHatari sana mkuu. Mimi bando la wiki la 1.4GB nimeunga asubuhi ya jana limeisha jana hiyohiyo kwa kuperuzi tu
Really?Wametufutia uzi wetu
Vodacom umewasingizia copral, jitathmini.Kama unawalalamikia hivyo tigo wakati wengine tumetoka tulikotoka tukaona huku ndo kuna unafuu, basi tulia hukohuko usithubutu kuhamia voda, utavunja sim kwa hasira.
Vodacom wapo vizur ki ukweli.Vodacom umewasingizia copral, jitathmini.
Labda kama wameanza hivi karibuni.Vodacom wapo vizur ki ukweli.
Wamejirekebisha toka liniAirtel wamejirekebisha, kifurushi kinadumu balaa
Mwenyewe nashangaa,wiki hii nimenunua mb zinakaa kinyama,natumia hadi 3mbs wakati tigo 35mb hutumiiWamejirekebisha toka lini
Airtel au wengine? Mtandao wa majambazi unakula mb kama majiMwenyewe nashangaa,wiki hii nimenunua mb zinakaa kinyama,natumia hadi 3mbs wakati tigo 35mb hutumii