Hakuna hyo course kwa level ya diplomamimi nimemaliza kidato cha nne mwaka huu 2016 na ufaulu wangu ni div 2 ya point 20 history C. civics C biology C kiswahili C english B chemia C phycs C geography C na mathe C je naweza kupata nafasi yakujiunga na chuo hicho mambo ya gas
Ipo imeanzishwa ndio mwaka wa kwanzamimi nimemaliza kidato cha nne mwaka huu 2016 na ufaulu wangu ni div 2 ya point 20 history C. civics C biology C kiswahili C english B chemia C phycs C geography C na mathe C je naweza kupata nafasi yakujiunga na chuo hicho mambo ya gas
Unapata vizuri tu nenda pale cjamani naombeni msaada wenu nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nina div 3 point 25 grade za masomo ni:
geo-c bio-c eng-b+
math-b kisw-d hist-c
phy-c chem-d civ-c
Je, naweza kujiunga na chuo cha DIT
(nataka nichukue electronics and telecommunication engineering)
huyo tangu mwaka juzi nahisi amshaaanza tayali sa hv nadhani atakuwa mwaka wa piliUnapata vizuri tu nenda pale c
kwaio naweza kupata nafasi yakujiungaIpo imeanzishwa ndio mwaka wa kwanza
eti form zakujiunga na electrical engineering hapo dit zimesha toka nahitaji kujiunga mwaka huuIpo imeanzishwa ndio mwaka wa kwanza
Kwa diploma ya secondary nayo sifa ni zipi?ni angalau uwe na division III.
Habari za kazi wana jamvi ni sifa gani zinazo chukuliwa na NECTA na NACTE kwa ualimu wa certificate na diploma ?
ng0ja waje watusaidie
uwe umemaliza kidato cha 6 na kupa div 3Kwa diploma ya secondary nayo sifa ni zipi?