Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Vpo vingi tu ndugu ila IJA is the best maana ni chuo cha usimamizi wa mahakama kipo strict kiasi bila msuli uneza graduate within a year mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We uko wapi na unataka usomee wapi na ili usome dip lazima uanze na certificate in law so mim ni mwanafunz WA certificate Ubuntu k mwnza km una nia nikutmie za principal WA chuoWakuu habari ya jumapili;
Kama kichwa cha habari kinachoeleza Mimi nataka kusoma diploma ya Sheria lakin sijajua vigezo vinavyohitajika ili niweze kuapply na kujiunga na masomo hayo.
Aidha Mimi ninafahamu chuo kimoja tu cha diploma ya Sheria ambacho ni (IJA) kilichoko Tanga.
So naomba km kuna vyuo vingne mnisaidie kunijuza.
Naombeni msaada wenu wakuu.
Plz tuweke namba hizo tuweze kuwasiliana naye maana tuko wengi tunaitaji kusoma sheriaWe uko wapi na unataka usomee wapi na ili usome dip lazima uanze na certificate in law so mim ni mwanafunz WA certificate Ubuntu k mwnza km una nia nikutmie za principal WA chuo
Vpo vingi tu ndugu ila IJA is the best maana ni chuo cha usimamizi wa mahakama kipo strict kiasi bila msuli uneza graduate within a year mkuu.
Ivyo vyuo vya kijinga jinga unataka mwenzako apotee sio? Mara Ubuntu mara TandabuiWe uko wapi na unataka usomee wapi na ili usome dip lazima uanze na certificate in law so mim ni mwanafunz WA certificate Ubuntu k mwnza km una nia nikutmie za principal WA chuo
Soma kwenye accredited college..kua makini. Epuka matapeliPlz tuweke namba hizo tuweze kuwasiliana naye maana tuko wengi tunaitaji kusoma sheria
Usilo lijua bwana, Ubuntu inaongoza kanda ya ziwa kwa kufundisha Nina ushahidi, km hujui unanyamaza usiseme vyuo vya kijinga usifuate ukubwa wa chuo au mob ya watu angaria kile unacho vuna .no ya sim hii hapa 0768 853 050. mwenye nia ya kusoma sheria, na lazima MTU ufanye utafiti make ni uamzi wa MTU.Ivyo vyuo vya kijinga jinga unataka mwenzako apotee sio? Mara Ubuntu mara Tandabui
Diploma ni miaka miwili sasa atawezaje graduate within a year?Vpo vingi tu ndugu ila IJA is the best maana ni chuo cha usimamizi wa mahakama kipo strict kiasi bila msuli uneza graduate within a year mkuu.
Diploma ni miaka miwili sasa atawezaje graduate within a year?
Dip ni miaka miwili certificate ndo one year
Eti Ubuntu...ubuntu si programe gani sijui ya computer? Bora mngekiita Chato College au JPM college...Usilo lijua bwana, Ubuntu inaongoza kanda ya ziwa kwa kufundisha Nina ushahidi, km hujui unanyamaza usiseme vyuo vya kijinga usifuate ukubwa wa chuo au mob ya watu angaria kile unacho vuna .no ya sim hii hapa 0768 853 050. mwenye nia ya kusoma sheria, na lazima MTU ufanye utafiti make ni uamzi wa MTU.
Endelea kumpiga debe RAPHAEL KAMULI atakupunguzia adacukimletea wateja!!We uko wapi na unataka usomee wapi na ili usome dip lazima uanze na certificate in law so mim ni mwanafunz WA certificate Ubuntu k mwnza km una nia nikutmie za principal WA chuo
Form four mwenye credit pass 5 pia anafanya diploma hiyo.Diploma in law kigezo chake kumaliza form6 na kuwa na atleast principle1 au certificate ya sheria ,vyuo vya diploma ya sheria ukiacha IJA, vipo vingi kma Mzumbe ,Tumaini DSM na Makumila ,Kuna Azania DSM ,kuna Secumo ,Tanga kuna mzumbe Mbeya ,Kuna Sauti ,Mwanza ,kuna Ruaha na Tumaini Iringa Nk
Unamaanisha mahakama zipi? Mbona makarani wanaajiriwa hao hao. Siku hizi hakuna mahakimu wa diploma, wanaajiriwa degree waliohitimu Law School.ila mbona IJA siku hizi hawaajiriwi tena mahakamani kama mwanzo ?siku hizi wanaajiriwa wap mkuu
kama sikosei unatakiwa uwe umefaulu form six. Sheria kwa Kiswahili (@sheriakwakiswahili) • Instagram photos and videosWakuu habari ya jumapili;
Kama kichwa cha habari kinachoeleza Mimi nataka kusoma diploma ya Sheria lakin sijajua vigezo vinavyohitajika ili niweze kuapply na kujiunga na masomo hayo.
Aidha Mimi ninafahamu chuo kimoja tu cha diploma ya Sheria ambacho ni (IJA) kilichoko Tanga.
So naomba km kuna vyuo vingne mnisaidie kunijuza.
Naombeni msaada wenu wakuu.
Ruaha Catholic universityWakuu habari ya jumapili;
Kama kichwa cha habari kinachoeleza Mimi nataka kusoma diploma ya Sheria lakin sijajua vigezo vinavyohitajika ili niweze kuapply na kujiunga na masomo hayo.
Aidha Mimi ninafahamu chuo kimoja tu cha diploma ya Sheria ambacho ni (IJA) kilichoko Tanga.
So naomba km kuna vyuo vingne mnisaidie kunijuza.
Naombeni msaada wenu wakuu.