Vigezo vya kukopa Tala na branch ni vigumu kuliko vya Green Card

Vigezo vya kukopa Tala na branch ni vigumu kuliko vya Green Card

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Nimehangaika tangu wiki lililopita usiku na mchana masaa 24 siku saba za week lakini sijaambulia kitu. Kwenye mitandao wanajinasibu mikopo yao ni riba nafuu na unapata hapo hapo ila ukianza loan process mpaka utajuta.

Nimeweka kitambulisho cha NIDA, nikaenda kuscan barua ya maombi ya mkopo wa 20000 tena Ina muhuri wa mtendaji pamoja na advocate nikatuma bado tena wanataka wadhamini ambapo mmoja lazima awe ni kiongozi wa Serikali za mtaa. Nae mtendaji namwambia anidhamini hataki.

Still wanataka kila mdhamini na passport size yake ambapo kupiga passport size ni buku tatu sasa wadhamin Watano jumla siinakuwa elfu kumi na tano. Yani nitumie gharama zaidi ya 15000 kwa mkopo wa twenty. Kama hawataki basi bhana.

images%20(95).jpg
 
TALA ndiyo wasumbufu lakini branch hawana longolongo Wala hawana Mambo ya barua mimi nakula mkopo branch fasta ukikamklisha kujisajili mzigo unaingia kwenye simu yako.
Mkuu mbona mm ngoma bado ngumu mpaka mda huu
 
Mimi ni mteja wa branch wako vizuri tuu.kuhusu hao tala wamenitapeli 30000 halafu badae wananiambia nitume tena 11000 ya kufungulia account ,nilipowauliza wakaniblock mazima, kwa utafiti wangu mdogo tala hawapo tena tz mean hawafanyi kazi msidanganyike mm ni mhanga
 
Mimi ni mteja wa branch wako vizuri tuu.kuhusu hao tala wamenitapeli 30000 halafu badae wananiambia nitume tena 11000 ya kufungulia account ,nilipowauliza wakaniblock mazima, kwa utafiti wangu mdogo tala hawapo tena tz mean hawafanyi kazi msidanganyike mm ni mhanga
Wote na branch miyayusho tuuu
 
Back
Top Bottom