Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekwambia kukopa ni kwamasikini tu basi kakulisha matangoporiHaya ni maisha halisi ya wanaJF wengi wanajidai mambo safi kumbe wanaungaunga na 20000 na wakidaiwa wanakuwa wakali...
Sasa si heri hao walimu wanaopambania maisha yao kihalali..
Mkuu sisi ngozi nyeusi acha tuendelee kunyanyapaliwa tu ikiwezekana tutawaliwe second phase maana bado tuna ushamba mwingi hata nguruwe pori ana unafuuwatz ujanja-ujanja upo kwenye damu yetu. yaan unajisifia na kujisifia kukwepa kulipa deni?. like seriously!!.
you are a bad example to your community.
ni kweli kudaiwa kunakera, ila sijawahi kufikia hatua ya kujisifia publicly kukwepa kulipa pesa watu ninayodaiwa.
OK japo Sina line ya Voda ngoja nikasajili huenda wakakubalitumia laini ya voda kujisajili, then kama kwenye simu una laini ingine i homoe kwa muda unapofungua app mara ya kwanza
Nadaiwa naona hawakubali kukopa mpaka ulipe deni, shida tupuKwanini usitumie tigonivushe kama uko tigo
Nadaiwa mkuu, afu Voda nikisajili Leo naweza Pata mkopo pia?Kwanini usitumie tigonivushe kama uko tigo
Kukopa siyo mbaya ila sio kukopa viela vidogo vidogo kama 20000Aliyekwambia kukopa ni kwamasikini tu basi kakulisha matangopori
Hawaruhusu kukopa zaidi ya hapo mpaka uwe unakopa kidogo kidogoKukopa siyo mbaya ila sio kukopa viela vidogo vidogo kama 20000
Hao branch inakuaje?TALA ndiyo wasumbufu lakini branch hawana longolongo Wala hawana Mambo ya barua mimi nakula mkopo branch fasta ukikamklisha kujisajili mzigo unaingia kwenye simu yako.
Pakua apps yao,,ujisajiliHao branch inakuaje?
Nimepakua,nimeweka akaunti ya wao kuniwekea pesa,na wamekubali,lakini sioni salio likiongezeka kwenye MpesaPakua apps yao,,ujisajili
Hahaha line zote hz unadaiwaYote tisa .
Kubwa lao tigo nivushe
Kuna laini wananidai 450,000
nyingine 245,000 ila hii ya 245,000 wameifungia
Dah....mm wameanza na elf5TALA ndiyo wasumbufu lakini branch hawana longolongo Wala hawana Mambo ya barua mimi nakula mkopo branch fasta ukikamklisha kujisajili mzigo unaingia kwenye simu yako.
Dah, hawa jamaa niliwadhulumu, ila kipindi kile walinisaidia sana kwa ule mkopo wao, shida yao Kila nikitaka kuwalipa wao wanawahi kunitumia sms kwamba mimi tapeli lazima wanikamate na kunishtaki, hapo nabadili mawazo naingia bar, ingawaje waliniokoa kipindi kile nimekwama sipendi iwe sababu ya kunitumia sms za kunidhalilisha na kunitisha.Sasa kama ni hivyo Sibora watulie kuliko kutusumbua mitandaoni, watu tunatumia mpaka gharama ya kumpa wakili pesa agonge muhuri lakini kila ukiatachi vigezo vinaongezeka tu.
Hawa jamaa wamejiunga na mtandao wa simu kitu kama tigo, masharti yamekuwa mengi kwani watu wengi wamewaliza, binafsi hadi leo nina deni lao....Nimehangaika tangu wiki lililopita usiku na mchana masaa 24 siku saba za week lakini sijaambulia kitu. Kwenye mitandao wanajinasibu mikopo yao ni riba nafuu na unapata hapo hapo ila ukianza loan process mpaka utajuta.
Nimeweka kitambulisho cha NIDA, nikaenda kuscan barua ya maombi ya mkopo wa 20000 tena Ina muhuri wa mtendaji pamoja na advocate nikatuma bado tena wanataka wadhamini ambapo mmoja lazima awe ni kiongozi wa Serikali za mtaa. Nae mtendaji namwambia anidhamini hataki.
Still wanataka kila mdhamini na passport size yake ambapo kupiga passport size ni buku tatu sasa wadhamin Watano jumla siinakuwa elfu kumi na tano. Yani nitumie gharama zaidi ya 15000 kwa mkopo wa twenty. Kama hawataki basi bhana.
Hawapati asala kweli maana kukopesha wabongo ni hatari, kwani hivi vikampuni wamiliki wake ni wa Tanzania kweli?Pole mkuu, enzi za chuo tuliwasumbua sana, unakopa unabadili line, saizi wameamua kuwa wakali
Kwahiyo unajiona mjanjaPole mkuu, enzi za chuo tuliwasumbua sana, unakopa unabadili line, saizi wameamua kuwa wakali
Wewe ndio unaniona mjanjaKwahiyo unajiona mjanja