Vigezo vya kukopa Tala na branch ni vigumu kuliko vya Green Card

Vigezo vya kukopa Tala na branch ni vigumu kuliko vya Green Card

Hiyo nivushe mbona kwangu wanakataa.Nina miezi minne tangu kusajili line ya Tigo lakini wananmbia muda bado.
 
Haya ni maisha halisi ya wanaJF wengi wanajidai mambo safi kumbe wanaungaunga na 20000 na wakidaiwa wanakuwa wakali...
Sasa si heri hao walimu wanaopambania maisha yao kihalali..
Aliyekwambia kukopa ni kwamasikini tu basi kakulisha matangopori
 
watz ujanja-ujanja upo kwenye damu yetu. yaan unajisifia na kujisifia kukwepa kulipa deni?. like seriously!!.

you are a bad example to your community.
ni kweli kudaiwa kunakera, ila sijawahi kufikia hatua ya kujisifia publicly kukwepa kulipa pesa watu ninayodaiwa.
Mkuu sisi ngozi nyeusi acha tuendelee kunyanyapaliwa tu ikiwezekana tutawaliwe second phase maana bado tuna ushamba mwingi hata nguruwe pori ana unafuu
 
Kwanini usitumie tigonivushe kama uko tigo
Nadaiwa mkuu, afu Voda nikisajili Leo naweza Pata mkopo pia?
Screenshot_20220715-113022.jpg
 
Sasa kama ni hivyo Sibora watulie kuliko kutusumbua mitandaoni, watu tunatumia mpaka gharama ya kumpa wakili pesa agonge muhuri lakini kila ukiatachi vigezo vinaongezeka tu.
Dah, hawa jamaa niliwadhulumu, ila kipindi kile walinisaidia sana kwa ule mkopo wao, shida yao Kila nikitaka kuwalipa wao wanawahi kunitumia sms kwamba mimi tapeli lazima wanikamate na kunishtaki, hapo nabadili mawazo naingia bar, ingawaje waliniokoa kipindi kile nimekwama sipendi iwe sababu ya kunitumia sms za kunidhalilisha na kunitisha.
 
Ila niliwapiga ndeeefu, badala wawe wanyenyekevu, wanaleta jeuri. Ila mwezi huu namalizana nao.kwa sababu ni haki yao
 
Nimehangaika tangu wiki lililopita usiku na mchana masaa 24 siku saba za week lakini sijaambulia kitu. Kwenye mitandao wanajinasibu mikopo yao ni riba nafuu na unapata hapo hapo ila ukianza loan process mpaka utajuta.

Nimeweka kitambulisho cha NIDA, nikaenda kuscan barua ya maombi ya mkopo wa 20000 tena Ina muhuri wa mtendaji pamoja na advocate nikatuma bado tena wanataka wadhamini ambapo mmoja lazima awe ni kiongozi wa Serikali za mtaa. Nae mtendaji namwambia anidhamini hataki.

Still wanataka kila mdhamini na passport size yake ambapo kupiga passport size ni buku tatu sasa wadhamin Watano jumla siinakuwa elfu kumi na tano. Yani nitumie gharama zaidi ya 15000 kwa mkopo wa twenty. Kama hawataki basi bhana.
Hawa jamaa wamejiunga na mtandao wa simu kitu kama tigo, masharti yamekuwa mengi kwani watu wengi wamewaliza, binafsi hadi leo nina deni lao....
 
achana na hizo umbwa,
yani zinalubalancia vijipesa.
ikienda sana mkopo mkubwa lakini unschokipata ni namba chafu+makato ya kutolea hicho kisungura!
 
Back
Top Bottom