Tetesi: Vigogo waliosimamishwa kazi waajiriwa sekta binafsi, waendelea kupokea mishahara ya serikali

Huyo wa TRA anawafundisha tax avoidance and probably how to cover their tracks. Wahasibu walio specialize kwenye masuala ya tax nadhani ndio wanaopata ki pato kikubwa kwa sasa.
 
Mlisema lowassa ana mtandao mkubwa ngoja tuone 2020 yaani hapa tunang'oa miti mizizi mpaka udongo na bado system yote aliyokuwa nayo tunafyeka hamjiulizi kwann mbowe ameanza kukingia kifua majipu na bado
Magufuli akomae nayo. Dau keshapata ubalozi?
 
Wewe utakuwa bawacha maana ndiyo huwa mnaandika uandishi wa namna hii sijui nani kawaroga nyie wanawake wa bawacha.
 
Unadhani ndo watakurudisha? Hatishiwi mtu nyau hapa,kama mmepata nendeni huko huko wala usitegemee kuwa pengine serikali itahangaika kuwarejesha wezi kazini maana wapo wenye vyeti,ujuzi na watiifu wa kazi wengi tu Tanzania hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…