Vigogo wengi walikuwa na Clinic zao za magonjwa sugu nchi za nje mipaka imefungwa hawana pa kukimbilia tena ndio maana wanateketea

Vigogo wengi walikuwa na Clinic zao za magonjwa sugu nchi za nje mipaka imefungwa hawana pa kukimbilia tena ndio maana wanateketea

Marekani wengi wanakufa sababu wengi walikuwa wakienda India kwa matibabu kwa maelfu hadi kukaanzishwa kitu kinaitwa medical tourism mmarekani akiomba visa kuingia India alikuwa akijaza reason for travel medical toursism wengi walikuwa na private doctors na clinics India lockdown inawamaliza sababu maelfu hawezi access good cheap health facility za India wanazoweza afford tofauti na expensive za marekani

Wamatekani wengi wana bima za afya za India ambazo kwao no cheap aliumwa tu apanda ndege mbio India sasa safari hata za ndege Hanna wengi watakufa marekani lockdown itaua wengi
Kwa hiyo tatizo kubwa ni mazoea ya wapi watu wanapata matibabu au ni ukosefu wa matibabu,ili isije kuwa labda watu kuwa ndani ndio sababu kubwa ya wao kukosa kupata matibabu na isije kuwa labda pia kinachosababisha vifo ni matatizo mengine.
 
Kwa hiyo tatizo kubwa ni mazoea ya wapi watu wanapata matibabu au ni ukosefu wa matibabu,ili isije kuwa labda watu kuwa ndani ndio sababu kubwa ya wao kukosa kupata matibabu na isije kuwa labda pia kinachosababisha vifo ni matatizo mengine.
Kwa marekani tatizo kubwa ni kukosa matibabu wako ghali sana na bima zao za afya in ghali.mno

Sasa watu wako locked down
Lockdown kwa marekani ni nzuri kwa matajiri sio watu Wa kawaida ndio.maana unaambiwa kipindi hiki black Americans ndio wanakufa sana
 
Back
Top Bottom