Marekani wengi wanakufa sababu wengi walikuwa wakienda India kwa matibabu kwa maelfu hadi kukaanzishwa kitu kinaitwa medical tourism mmarekani akiomba visa kuingia India alikuwa akijaza reason for travel medical toursism wengi walikuwa na private doctors na clinics India lockdown inawamaliza sababu maelfu hawezi access good cheap health facility za India wanazoweza afford tofauti na expensive za marekani
Wamatekani wengi wana bima za afya za India ambazo kwao no cheap aliumwa tu apanda ndege mbio India sasa safari hata za ndege Hanna wengi watakufa marekani lockdown itaua wengi