Vigogoni gani wataondoka baada ya mkutano wa Kariakoo?

Vigogoni gani wataondoka baada ya mkutano wa Kariakoo?

Wakubwa wataachwa ila lazima mbuzi wa kafara atolewe siku chache zijazo.
 
Kikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi.

Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka?

1. Waziri wa Fedha?
2. Waziri wa Biashara?
3. CG wa TRA?
4. Manager wa TRA Ilala?

Nani ataondoka?
Haondoki yeyote mzee
 
Meneja wa TRA mkoa wa kikodi Kariakoo ataamishwa akifuatiwa na baadhi ya maafisa wa kodi mkoa wa kikodi Kariakoo nao wajiandae kuhamishiwa mikoani
[emoji15][emoji15][emoji15]
Kama vile wewe ndiye mwenye mamlaka hayo....

Haya mkuu Asante [emoji1787]
 
Ila Mwigulu ni km adui wa Taifa anaandamwa balaa
Fikiria Rais katamka kodi za miaka kadhaa nyuma hakuna kuzidai, TRA wanasema tupe barua ya rais inayosema hivyo, waziri mkuu anasema tamko la rais halihitaji barua na wafanya biashara hawawezi kuipata. TRA wanasimamia sheria iliyotungwa na Bunge na waziri muu akiwemo! Nani wa kulaumiwa?
Utawala bora kauli ya rais haifuti sheria iliyotungwa na bunge. Ili kauli hiyo iweze kutekelezwa ni lazima sheria husika ifanyiwe marekebisho ili utejkelezaji ubadilike.
Nani kachelewa au hakutaka kupeleka marekebisho hayo bungeni? Huyo ndiye wa kushughulika nae wengine ni kuiwaonea tu
 
Vigogoni? Kwali wasomi n wengi nchi hii.
Asante
 
Hadi unajiuliza hivi bunge lina umuhimu gani, watu wanasema vitu ambavyo bungeni hakuna anayeweza kuzungumza ayo.

Ingependeza leo vikao vyao wangewekewa screen wakaona ukweli wa hali iliyopo
 
Hadi unajiuliza hivi bunge lina umuhimu gani, watu wanasema vitu ambavyo bungeni hakuna anayeweza kuzungumza ayo.

Ingependeza leo vikao vyao wangewekewa screen wakaona ukweli wa hali iliyopo
R.o.m.a mkatolik zamani kidogo aliwai kuimba kwenye wimbo wa Viva.............

// Bungeni sioni kinacho endelea...zaidi ya wabunge wakisutana umbea//
 
Hadi unajiuliza hivi bunge lina umuhimu gani, watu wanasema vitu ambavyo bungeni hakuna anayeweza kuzungumza ayo.

Ingependeza leo vikao vyao wangewekewa screen wakaona ukweli wa hali iliyopo
Tanzania bunge halina umuhimu. Ni mhuri unaotumika na ma godfather kulamba asali
 
Kikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi.

Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka?

1. Waziri wa Fedha?
2. Waziri wa Biashara?
3. CG wa TRA?
4. Manager wa TRA Ilala?

Nani ataondoka?
Labda hao Mameneja wa TRA maana ndio wanaochukua Rushwa nk..

Kwa mfano Waziri Kijaji aoneoke Kwa sababu Alisema hakuna mgomo Kariakoo au?

Mwigulu aondoke Kwa sababu wafanyabiashara wamesema anawapa kiburi TRA au?

CG wa TRA nae hawezi Kuondoka isipokuwa hapo ni TRA kubadili mbinu au approach za kukusanya Kodi na mahusiano na wafanyabiashara..

Huwezi endesha Nchi kienyeji hivyo,kama ni Changamoto zipo Kila mahala wanafanya kazi ni binadamu sio malaika so waliofanya uhuni ndio washughulikiwe.
 
Mpaka sasa kosa ni la wabunge kupitisha sheria za hovyo zinazokuja waumiza wanaokuja zisimamia.
 
Kikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi.

Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka?

1. Waziri wa Fedha?
2. Waziri wa Biashara?
3. CG wa TRA?
4. Manager wa TRA Ilala?

Nani ataondoka?
Si lazima kuondoka, ni kazima kuangalia mfumo wa tozo/kodi..
 
Labda hao Mameneja wa TRA maana ndio wanaochukua Rushwa nk..

Kwa mfano Waziri Kijaji aoneoke Kwa sababu Alisema hakuna mgomo Kariakoo au?

Mwigulu aondoke Kwa sababu wafanyabiashara wamesema anawapa kiburi TRA au?

CG wa TRA nae hawezi Kuondoka isipokuwa hapo ni TRA kubadili mbinu au approach za kukusanya Kodi na mahusiano na wafanyabiashara..

Huwezi endesha Nchi kienyeji hivyo,kama ni Changamoto zipo Kila mahala wanafanya kazi ni binadamu sio malaika so waliofanya uhuni ndio washughulikiwe.
Unawajua wanasiasa vizuri? Hawafanyi maamuzi kwa msukumo wa logic bali kwa kuendana na upepo wa wapiga kura
 
Back
Top Bottom