Karne JF-Expert Member Joined Jun 13, 2016 Posts 8,118 Reaction score 13,547 May 17, 2023 #81 Hakuna wa kuondoka hapo wataambiwa tu "Stupid" na pengine hayo malalamiko wakayatazame!
Engager JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 1,522 Reaction score 3,255 May 17, 2023 #82 Akiondoka yeyote mniite mbwa. Niko pale.
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 May 17, 2023 #83 Mkunazi Njiwa said: [emoji15][emoji15][emoji15] Kama vile wewe ndiye mwenye mamlaka hayo.... Haya mkuu Asante [emoji1787] Click to expand... Mimi ni mpika chai wa mama nyumba nyeupe🤣🤣
Mkunazi Njiwa said: [emoji15][emoji15][emoji15] Kama vile wewe ndiye mwenye mamlaka hayo.... Haya mkuu Asante [emoji1787] Click to expand... Mimi ni mpika chai wa mama nyumba nyeupe🤣🤣
Z zithromax JF-Expert Member Joined Apr 26, 2016 Posts 7,482 Reaction score 7,957 May 17, 2023 #84 system hacker said: Kikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi. Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka? 1. Waziri wa Fedha? 2. Waziri wa Biashara? 3. CG wa TRA? 4. Manager wa TRA Ilala? Nani ataondoka? Click to expand... Hamna kitu na huchi ndo kinachowapa kibri . Kama kipindi cha jpm ungekuta matumbo ni joto
system hacker said: Kikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi. Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka? 1. Waziri wa Fedha? 2. Waziri wa Biashara? 3. CG wa TRA? 4. Manager wa TRA Ilala? Nani ataondoka? Click to expand... Hamna kitu na huchi ndo kinachowapa kibri . Kama kipindi cha jpm ungekuta matumbo ni joto