Vihoja vya mitihani ya Shule ya msingi.

Hahahaaaa bora hata nimefungua jf nimetabasamu kidogo. Maana huku Cambodia kuna M-cambodia kaniudhiiii na isingekuwa ni nchini kwao ningekuwa jela.


Kwakweli me nilikuwa naanza kuchanganyikiwa swali la 8,aisee yanakuwa magumuuuu.Utakuta unarudi kwenye tuswali twa kwanza unajifanya unahakiki majibu.
Hapo Na njia unaonesha,msingi rahaaa
 
Afadhari ya hayo kuliko yale sijui UMRI WA BIBI NI MARA TATU UMRI WA BABU NA MJUKUU ANA MIAKA SITA TAFUTA UMRI WA MDOGO WAKE yaani tabu tupu... hapa ndo mtu utamsikia SIO KAMA KUJIBU SIWEZI ILA KUFATILIA MAISHA YA WATU SIPENDI huku anakusanya
Hahahaaaa daa nilikuwa silipendi hili balaaa
 
Inawezekana kabisa ndege kutoka Mwanza ilikuwa ikizungukia chato kwenda Dar es Salaam. Ndio maana masaa yalikuwa yanaongezeka.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Inawezekana kabisa ndege kutoka Mwanza ilikuwa ikizungukia chato kwenda Dar es Salaam. Ndio maana masaa yalikuwa yanaongezeka.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji13] [emoji13] au labda angani walizima traffic light na kumweka traffic police kama vile tazara[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji1] [emoji1] aisee kweli jina lako linaendana na Yale matendo yako
 
Afadhari ya hayo kuliko yale sijui UMRI WA BIBI NI MARA TATU UMRI WA BABU NA MJUKUU ANA MIAKA SITA TAFUTA UMRI WA MDOGO WAKE yaani tabu tupu... hapa ndo mtu utamsikia SIO KAMA KUJIBU SIWEZI ILA KUFATILIA MAISHA YA WATU SIPENDI huku anakusanya
Mkuu namba ni habari nyingine
 
Hapo mkuu ukihisi maji yamekufika shingoni,basi shingo haitulii,kila Mara kuangaza pengine msaada waweza tokea kwa mtu wa jirani
 
Itakuwa ilikwama Foleni za mataa ya chato
 
[emoji16][emoji16][emoji16]jaman hizo zingine nilikuwa nakosa zotee loh staki hata kukumbuka hasahasa za maumbo ndo nilikuwa sizipendi
 
Ukiangalia hili swali halijawahi nisaidia katika maisha yangu
Unasema halijawahi kukusaidia?! Je vp thamani ya x umeshaijua?[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38]
X = vyuma[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Ah thamani ya X inamaana nyingi mkuu, X ipi sasa maana zote nimekutana Nazo
X=penzi lililokufa
X=Mahabati
X=bomoa bomoa
 
[emoji1] [emoji1] aisee kweli jina lako linaendana na Yale matendo yako
Siku hyo nilikuwa mpolee.Mshua anamuuliza mwalimu mbona huyu mtoto uwa ananiletea mitihani amepata hesabu 45/50
Inakuwaje kwenye ubao ana 15.mwalimu anashangaa tu.
 
huyu jamaa kakosea kutunga swali,hapo baba john ni kiben10 zaidi ya john....[emoji2][emoji2][emoji2]
Sahihi. Lakini inaonesha mama John alitembea na kiben10 ndio akazaliwa John[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…