tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Hahahaaaa bora hata nimefungua jf nimetabasamu kidogo. Maana huku Cambodia kuna M-cambodia kaniudhiiii na isingekuwa ni nchini kwao ningekuwa jela.
Kwakweli me nilikuwa naanza kuchanganyikiwa swali la 8,aisee yanakuwa magumuuuu.Utakuta unarudi kwenye tuswali twa kwanza unajifanya unahakiki majibu.
Hapo Na njia unaonesha,msingi rahaaa
Kwakweli me nilikuwa naanza kuchanganyikiwa swali la 8,aisee yanakuwa magumuuuu.Utakuta unarudi kwenye tuswali twa kwanza unajifanya unahakiki majibu.
Hapo Na njia unaonesha,msingi rahaaa