Vijana 10 wa JKT Msata kufariki wakiwa kambini wa kuwajibika wawajibike tu

Vijana 10 wa JKT Msata kufariki wakiwa kambini wa kuwajibika wawajibike tu

Mi ngoja nihesabu kwanza....


Juzi moshi 20

Jana wajeda 10

Jana Njombe mapolisi 3.

Ngoja niendele kuhesabu. Regarding this year I ' will come with my observation later.
 
JWTZ wamekuwa na mafunzo toka 1966 afu mwaka huu ndio vifo vitokanane na mazoezi? Tuaminiane. Itakuwa kuna kitu wamekula.

Tatizo la ugonjwa wa Figo kwenye kambi ya Kihangaiko lipo Sana,

Vijana mara nyingi wanashindwa kuendelea na kozi Monduli kwa sababu ya matatizo ya figo, wakati wanaanza mafunzo hupimwa na hawaonekani kuwa na matatizo ya figo.

Kuna tatizo linalofanya vijana kupata tatizo la figo.


Uchunguzi wa kina ufanyike. Kama mazoezi ya ukakamavu ni magumu kuzidi, yarekebishwe.


Majibu mepesi hayatasaidia.
 


Hayo maelezo ya CDF yanaacha maswali mengi kuliko majibu. Maana kuharisha na kutapika inawezekana pia ni "Rhabdomyolisis" hali ambayo hupelekea "Acute kidney failure", kwa kesi ya vijana moja kwa moja ni mazoezi ya kupitiliza kutoka kwa maafande. Uchunguzi huru unahitajika
na wa kuwajibishwa wawajibishwe..


Kwa liserikali ambalo hakuna rule of law,usitegemee lolote

Hakuna functioning judicial system kabisa

We are all fvked aisee
 


Hayo maelezo ya CDF yanaacha maswali mengi kuliko majibu. Maana kuharisha na kutapika inawezekana pia ni "Rhabdomyolisis" hali ambayo hupelekea "Acute kidney failure", kwa kesi ya vijana moja kwa moja ni mazoezi ya kupitiliza kutoka kwa maafande. Uchunguzi huru unahitajika
na wa kuwajibishwa wawajibishwe..
Uchunguzi huru, kwani hii ni kampuni ya mkonge?

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Siyo lazima tujue kila kitu. Hata hivyo wamekwisha kufa hata tukihoji sana hawawezi rudi. Kule moshi mbona tumejua chanzo je wamerudi. Itoshe tu kujua kuwa wamefariki hayo mengine tuwaachie wao wanaohusika na usalama.
Kuna mambo ya kijinga nayaona hapa eti wapeleke watalaam kuwatrain ili wawatumie kisha wawaue! Kweli hebu tuwe serious kidogo. Mwingine anasema eti wamezidishiwa mazoezi! Kwamba wakufunzi wetu ni mbumbumbu kiasi hawajui hata standard ya mazoezi. Hapana hebu tuendelee kuwaheshimu watalaam wa taifa hili na kuwapa heshima wanayositahili.
 
Uchunguzi huru, kwani hii ni kampuni ya mkonge?

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk

Waliopoteza maisha ni Watoto wetu na NI Watanzania wenzetu.

Wangekuwa wamelipukiwa na bomu ndiyo ungekubali uchunguzi?
 
Siyo lazima tujue kila kitu. Hata hivyo wamekwisha kufa hata tukihoji sana hawawezi rudi. Kule moshi mbona tumejua chanzo je wamerudi. Itoshe tu kujua kuwa wamefariki hayo mengine tuwaachie wao wanaohusika na usalama.
Kuna mambo ya kijinga nayaona hapa eti wapeleke watalaam kuwatrain ili wawatumie kisha wawaue! Kweli hebu tuwe serious kidogo. Mwingine anasema eti wamezidishiwa mazoezi! Kwamba wakufunzi wetu ni mbumbumbu kiasi hawajui hata standard ya mazoezi. Hapana hebu tuendelee kuwaheshimu watalaam wa taifa hili na kuwapa heshima wanayositahili.
Yaani likitokea tatizo kama hilo hatutakiwi kuhoji? huoni kwa kuhoji kutasaidia kuondoa tatizo jingine km hilo mbele ya safari, kwasababu wahusika watachukua hatua stahiki!

Haiwezekani kuwaacha tu, wataendeleaa kufanya mambo kwa mazoea na kusababisha maafa mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani likitokea tatizo kama hilo hatutakiwi kuhoji? huoni kwa kuhoji kutasaidia kuondoa tatizo jingine km hilo mbele ya safari, kwasababu wahusika watachukua hatua stahiki!

Haiwezekani kuwaacha tu, wataendeleaa kufanya mambo kwa mazoea na kusababisha maafa mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata usipohoji wao wanajua namna ya kuchukua hatua. Mbona vifo 20 vya huko lindi hujahoji?
 


Hayo maelezo ya CDF yanaacha maswali mengi kuliko majibu. Maana kuharisha na kutapika inawezekana pia ni "Rhabdomyolisis" hali ambayo hupelekea "Acute kidney failure", kwa kesi ya vijana moja kwa moja ni mazoezi ya kupitiliza kutoka kwa maafande. Uchunguzi huru unahitajika
na wa kuwajibishwa wawajibishwe..

Jana si nimesikia kasema na watano majeruhi tuwaombee wapone mhhhhh majeruhi maana yake nini ni watu wamajeruhiwa hakusema wanaumwa jana kwenye mkutano wa kuapisha
 
Naomba kujua km ni lazima kumpeleka JKT mtoto mhitimu wa ACSEE? Nini kitamcost? Kuna mdogo wng bint nataka asiende huko akimaliza ACSEE!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi ngoja nihesabu kwanza....


Juzi moshi 20

Jana wajeda 10

Jana Njombe mapolisi 3.

Ngoja niendele kuhesabu. Regarding this year I ' will come with my observation later.
Atawamaliza kwa imani potofu, huu mwaka wa uchaguzi

Cc: Mshana Jr
 
Majuzi dogo aliniambia watu wanakufa sana kozi Msata na hatujajua shida ni nini. Mimi nikamjibu kufa kwa mpiganaji kwenye kozi si jambo la kawaida? akasema lakini si kwa uwingi huu nadhani kuna shida.....kumbe yalikua ya kweli.
 
Msata a.k.a kihangaiko ni kambi ambayo ipo ukanda wa jua kali sana nahisi kozi ilikuwa kali mno kupelekea kufariki kwa recruits pia kukimbizwa LUGALO ni mbali mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaifahamu vizuri Msata ilipo?
Sasa unaposema Lugalo mbali mno ulitaka wakimbizwe wapi kwa rufaa!!!! Tanga, Morogoro au Kibaha?

Ukitaka kuijua ilipo Msata pita Barabara ya Bagamoyo tokea Dar, pale inapokutana barabara ya Bagomoyo na itokayo Chalinze kwenda Tanga ndio Msata. Sasa niambie ikiwa hospitali kubwa iliyo karibu na Msata ni ipi.

Msata ipo Wilaya ya Bagamoyo, huu ni ukanda wa Pwani na una kambi nyingi tu za kijeshi. Sasa suala la jua kali silielewi
 
Back
Top Bottom