Vijana 10 wa JKT Msata kufariki wakiwa kambini wa kuwajibika wawajibike tu

Vijana 10 wa JKT Msata kufariki wakiwa kambini wa kuwajibika wawajibike tu

data,
Vile vibabu vya ujiji sio vya kupuuza, ongeza na mudhihir, bulembo ajitathimini
 
Mronje, Jeshi liache mambo ya kizamani litoe mafunzo ya kisayansi..!

Siku zote huwa nashangaa jeshi kujivunia adhabu na mazoezi ya suruba ebooh..!

Sasa hivi majeshi yalishahamia vita ya kiteknolojia hasa matumizi ya zana za kidigital na mazoezi ya ukakamavu wa kawaida. Tubadirike jamani dunia inakimbia mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndani ya mwezi mmoja tu kambi hizi zimeguswa kisawasawa.
1. Mafuriko 21
2. Dini 20
3. JWTZ 10
4. Polisi 4

Hizi kambi zilisahaulika kidogo naona Izraeli alikuwa kambini kwa wana habari na wana siasa naona kahamisha kambi.
 
JWTZ wamekuwa na mafunzo toka 1966 afu mwaka huu ndio vifo vitokanane na mazoezi? Tuaminiane. Itakuwa kuna kitu wamekula.
Kufa,kuumia na kupata ukilema kabisa Ni kawaida ila si kwa idad hyo kubwa Sana haimaanish kuwa mafunzo Ni magumu Bali Kuna kitu nyuma ya pazia maana ya jandoni huishia jandoni

kilicho akilini kitumie
 
Msata a.k.a kihangaiko ni kambi ambayo ipo ukanda wa jua kali sana nahisi kozi ilikuwa kali mno kupelekea kufariki kwa recruits pia kukimbizwa LUGALO ni mbali mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ukali wa koz watu kumi Tena wakiwa wanatembea na Sio cross country 72km kukimbia nadhan Kuna tatizo sehemu

kilicho akilini kitumie
 
Uwazitu, Maji babu kunywa Ni issue kumbuka Figo inatumia kias gani Cha maji kwa lisaa kufanya Kaz yake? Na pale Ni jua Sana na linapiga Sana

kilicho akilini kitumie
 
bigmind,
Mazoezi ya kijeshi Ni makali duniani kote. Unadhani wale wanaoombwaga kuja kusaidia katika uokoaji huku, wanapatikanaje?
 
Kufa wanakufaga sana tu kwenye makambi. Ni vitu visivyosemwa ndio maana inaonekana kama ajabu. Hapakosekanagi mmoja au wawili kila mwaka. Uliza waliopita huko watakwambia.
Siyo lazima tujue kila kitu. Hata hivyo wamekwisha kufa hata tukihoji sana hawawezi rudi. Kule moshi mbona tumejua chanzo je wamerudi. Itoshe tu kujua kuwa wamefariki hayo mengine tuwaachie wao wanaohusika na usalama.
Kuna mambo ya kijinga nayaona hapa eti wapeleke watalaam kuwatrain ili wawatumie kisha wawaue! Kweli hebu tuwe serious kidogo. Mwingine anasema eti wamezidishiwa mazoezi! Kwamba wakufunzi wetu ni mbumbumbu kiasi hawajui hata standard ya mazoezi. Hapana hebu tuendelee kuwaheshimu watalaam wa taifa hili na kuwapa heshima wanayositahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo lazima tujue kila kitu. Hata hivyo wamekwisha kufa hata tukihoji sana hawawezi rudi. Kule moshi mbona tumejua chanzo je wamerudi. Itoshe tu kujua kuwa wamefariki hayo mengine tuwaachie wao wanaohusika na usalama.
Kuna mambo ya kijinga nayaona hapa eti wapeleke watalaam kuwatrain ili wawatumie kisha wawaue! Kweli hebu tuwe serious kidogo. Mwingine anasema eti wamezidishiwa mazoezi! Kwamba wakufunzi wetu ni mbumbumbu kiasi hawajui hata standard ya mazoezi. Hapana hebu tuendelee kuwaheshimu watalaam wa taifa hili na kuwapa heshima wanayositahili.
ukisema watu hatutakiwi kujua kilichotokea utakuwa unakosea. Watu kumi kufariki bila kujulikana chanzo alafu unasema tukae kimya si sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Syria kasaidiwa na china kuiripua kambi ya USA na USA kaujua mchezo kaamua kumpiga biological weapon VIRUS siku ya mwaka mpya wa kichina(wachina wengi hurudi kwao kusherekea sikukuu hii)

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko vizuri. Sijui kama wengi wanaelewa vita vya namna hii.
 
Uwazitu,
Tatizo la figo na kutapika na kuharisha ndugu unaweza kunielezea uhusiano wake...utanisaidia sana kuelewa the pathophysiology of how tatizo la figo linaweza pelekea kutapika na kuharisha.
 
Back
Top Bottom