Vijana 10 wa JKT Msata kufariki wakiwa kambini wa kuwajibika wawajibike tu

Ni jeshi la nchi gani hilo ambalo halina mafunzo heavy?

Unawajua seal ya marekani?
 
Naomba kujua km ni lazima kumpeleka JKT mtoto mhitimu wa ACSEE? Nini kitamcost? Kuna mdogo wng bint nataka asiende huko akimaliza ACSEE!

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora asiende tu, na hataathirika kwa lolote. Kulazimishana kwenda JKT kwa Mujibu ni upuuzi mtupu afadhali hata wangefanya iwe lazima kwenda VETA au Vocational Training yoyote baada ya ACSEE. Huko VETA wahitimu watajifunza trades mbalimbali na zitawasaidia kujiajiri baadae badala ya kupigishwa push-ups na mazoezi mengine ya kifo huko JKT ambayo hayawasaidii kujiajiri.

Na samahani kwa hili: Jeshini kuna udhalilishaji mkubwa kwa mabinti, na kwa vyovyote vile dada'ako mdogo atat**bwa sana huko jeshini. Mpeleke ili akadhalilishwa kingono au usimpeleke huko umnusuru.
 
Atakuwa chakula huko au sio😂😂😂
 
Kambi ya jkt msata ?hao ni askari wa jw waliishiwa nguvu ghafla kwenye mafunzo na kutapika
 
Siasa na Jeshi wapi na wapi ... hakuna kesi apo wamekufa kazini
 
Ndo hivyo. Kule mtoto wa kike kukataa approach ya Mkufunzi ni vigumu sana, akubali maisha yasonge au akatae ale msoto mkali.

Kiufupi, almost 99% ya wale Wajeda wa kike unaowaona walishagawa papuchi sana wakati wa training, bila hiari yao.
Nimepita huko naelewa sana...tumewekwa sana kuwa walinzi wakati majamaa wanapiga show kwenye maanga dah wanakwambia dogo usiruhusu mtu aingie huku...😂😂😂afu nyie mnagaragazwa wee ila kuna mamanzi kila siku mnawaona wasaaafiii afu walivyo wapumbavu wanaongea kabisa wenyewe kuwa wanatoka na kina nani😂yale maisha sitayasahau..
 
Waache watujengee vijana shupavu wa kutulinda... Phydically.

Vifo ni kawaida tu... Hata wangekuwa mtaani wangekufa..

Kwanza unamshangaa vipi aliyekufa kwenye maandalizi ya kutetea taifa alafu unaacha kumshangaa alikufa kwa kugombania mafuta ya upako toka kwa mwanadamu mwenzake!??

Usiitengeneze hoja kisiasa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atleast wewe umeona sollution.

Kuna watu wanajadili sumu, mwaka wa uchaguzi na wanataka uchunguzi ufanyike..

Sasa sijuh wanatokaga wapi wanadhan hii suala ni la kwanza nini..

Sidhan kama kuna mafunzo ya jeshi yanaisha bila kupoteza watu uhai.. Ni power ya media tu ndio inachanganya watu.. Unadahan asingeongea yuule kungekuwa na topic humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inavyoonekana hawakuzingatia sheria ya mazoezi kabla mwili haujapoa usinywe maji.kama mjuavyo mazoezi ya kijeshi ni zaidi ya mazoezi,ukiyaotea maji sehem huwezi yapita.

wakayaparamia bila kujua masikini mambo yakaharibika,na haiwezekani jambo hili kutokea mazingira ya kambi,kwa vyovyote mistake imefanyika njiani,maana camp wanajua hivyo usimamizi ni wa hali ya juu.kuona maji ni mpaka mwili urudi neutral.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi ngoja nihesabu kwanza....


Juzi moshi 20

Jana wajeda 10

Jana Njombe mapolisi 3.

Ngoja niendele kuhesabu. Regarding this year I ' will come with my observation later.
Weka na Kenya bas
 
Mazoezi maalum kumlinda 'the prince ' baada ya kutishiwa nyau na police wa dunia.
 
Hizi kazi hizi unapigwa adhabu hata kama huna kosa eti ni lufundishana nidhamu.
 
Mimi pia nilipita kule kwa Mujibu na baada ya pale niliapa sitaruhusu binti yangu ajiunge na jeshi, na huo ndo umekuwa msimamo wangu hadi leo. Kuna binti yangu 2 alijaribu kuapply jeshini baada ya Diploma yake Fisheries nilimdiscourage kwenda huko hadi akaahirisha.

Sisemi kwamba binti zangu ni watakatifu, hapana. Ila sipendi wakanyanyaswe kingono huko kwenye 'chenja', inawezekana hata huku uraini ni wafuska lakini bora wafanye hivyo at free will. Jeshini one can hardly exercise her free will.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…