Vijana 132 wakamatwa Kibaha wakijihusisha na biashara ya mtandaoni inayodaiwa ni utapeli

Vijana 132 wakamatwa Kibaha wakijihusisha na biashara ya mtandaoni inayodaiwa ni utapeli

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Katika tukio la kushtua, vijana 132 wenye umri kati ya miaka 18 na 22 kutoka mikoa mbalimbali ya pembezoni mwa Tanzania wamekamatwa huko Mlandizi, Kibaha Vijijini mkoani Pwani, wakiwa wanajihusisha na biashara ya mtandaoni inayodaiwa kuwa ni ya kitapeli.

Biashara hii inadaiwa kufanyika kwa usiri mkubwa chini ya kampuni ya QI Group of Company yenye makao makuu nchini Malaysia.

Tukio hili lilitokea usiku wa kuamkia Februari 15, majira ya saa tatu usiku hadi saa saba, ambapo Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Salim Morcase, akiwa na maafisa wa polisi walifanya msako wa ghafla na kuwakuta vijana hao pamoja na viongozi wao katika nyumba tatu tofauti.

Morcase alibainisha kuwa mafanikio ya kukamatwa kwa vijana hao ni kutokana na taarifa za kiintelijensia, ambazo zilionesha kuwa wanajishughulisha na shughuli zinazovunja sheria na zinazotishia usalama.

Aliongeza kuwa baadhi ya viongozi wa mtandao huo wamekamatwa na watafikishwa kwenye mahojiano na uchunguzi zaidi, na kwamba taratibu za kisheria zitachukuliwa.

Baadhi ya vijana waliokamatwa walieleza kuwa walivutiwa na ahadi ya ajira mtandaoni baada ya kushawishiwa na wenzao.

Baadhi ya mikoa wanayotoka vijana hao ni pamoja na Mikoa Mbeya,Songwe, Ruvuma ,Songea, Tabora,Singida ,Kilimanjaro. Katavi,Mtwara , Dodoma . Kigoma , Mwanza, Manyara. na Arusha

 
Katika tukio la kushtua, vijana 132 wenye umri kati ya miaka 18 na 22 kutoka mikoa mbalimbali ya pembezoni mwa Tanzania wamekamatwa huko Mlandizi, Kibaha Vijijini mkoani Pwani, wakiwa wanajihusisha na biashara ya mtandaoni inayodaiwa kuwa ni ya kitapeli.

Biashara hii inadaiwa kufanyika kwa usiri mkubwa chini ya kampuni ya QI Group of Company yenye makao makuu nchini Malaysia.

Tukio hili lilitokea usiku wa kuamkia Februari 15, majira ya saa tatu usiku hadi saa saba, ambapo Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Salim Morcase, akiwa na maafisa wa polisi walifanya msako wa ghafla na kuwakuta vijana hao pamoja na viongozi wao katika nyumba tatu tofauti.

Morcase alibainisha kuwa mafanikio ya kukamatwa kwa vijana hao ni kutokana na taarifa za kiintelijensia, ambazo zilionesha kuwa wanajishughulisha na shughuli zinazovunja sheria na zinazotishia usalama.

Aliongeza kuwa baadhi ya viongozi wa mtandao huo wamekamatwa na watafikishwa kwenye mahojiano na uchunguzi zaidi, na kwamba taratibu za kisheria zitachukuliwa.

Baadhi ya vijana waliokamatwa walieleza kuwa walivutiwa na ahadi ya ajira mtandaoni baada ya kushawishiwa na wenzao.

Baadhi ya mikoa wanayotoka vijana hao ni pamoja na Mikoa Mbeya,Songwe, Ruvuma ,Songea, Tabora,Singida ,Kilimanjaro. Katavi,Mtwara , Dodoma . Kigoma , Mwanza, Manyara. na Arusha

View attachment 3237197
Ndio Hawa wanaotuambia tuna kwa namba hii,wafungwe!
 
Katika tukio la kushtua, vijana 132 wenye umri kati ya miaka 18 na 22 kutoka mikoa mbalimbali ya pembezoni mwa Tanzania wamekamatwa huko Mlandizi, Kibaha Vijijini mkoani Pwani, wakiwa wanajihusisha na biashara ya mtandaoni inayodaiwa kuwa ni ya kitapeli.

Biashara hii inadaiwa kufanyika kwa usiri mkubwa chini ya kampuni ya QI Group of Company yenye makao makuu nchini Malaysia.

Tukio hili lilitokea usiku wa kuamkia Februari 15, majira ya saa tatu usiku hadi saa saba, ambapo Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Salim Morcase, akiwa na maafisa wa polisi walifanya msako wa ghafla na kuwakuta vijana hao pamoja na viongozi wao katika nyumba tatu tofauti.

Morcase alibainisha kuwa mafanikio ya kukamatwa kwa vijana hao ni kutokana na taarifa za kiintelijensia, ambazo zilionesha kuwa wanajishughulisha na shughuli zinazovunja sheria na zinazotishia usalama.

Aliongeza kuwa baadhi ya viongozi wa mtandao huo wamekamatwa na watafikishwa kwenye mahojiano na uchunguzi zaidi, na kwamba taratibu za kisheria zitachukuliwa.

Baadhi ya vijana waliokamatwa walieleza kuwa walivutiwa na ahadi ya ajira mtandaoni baada ya kushawishiwa na wenzao.

Baadhi ya mikoa wanayotoka vijana hao ni pamoja na Mikoa Mbeya,Songwe, Ruvuma ,Songea, Tabora,Singida ,Kilimanjaro. Katavi,Mtwara , Dodoma . Kigoma , Mwanza, Manyara. na Arusha

View attachment 3237197
FIC
 
Katika tukio la kushtua, vijana 132 wenye umri kati ya miaka 18 na 22 kutoka mikoa mbalimbali ya pembezoni mwa Tanzania wamekamatwa huko Mlandizi, Kibaha Vijijini mkoani Pwani, wakiwa wanajihusisha na biashara ya mtandaoni inayodaiwa kuwa ni ya kitapeli.

Biashara hii inadaiwa kufanyika kwa usiri mkubwa chini ya kampuni ya QI Group of Company yenye makao makuu nchini Malaysia.

Tukio hili lilitokea usiku wa kuamkia Februari 15, majira ya saa tatu usiku hadi saa saba, ambapo Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Salim Morcase, akiwa na maafisa wa polisi walifanya msako wa ghafla na kuwakuta vijana hao pamoja na viongozi wao katika nyumba tatu tofauti.

Morcase alibainisha kuwa mafanikio ya kukamatwa kwa vijana hao ni kutokana na taarifa za kiintelijensia, ambazo zilionesha kuwa wanajishughulisha na shughuli zinazovunja sheria na zinazotishia usalama.

Aliongeza kuwa baadhi ya viongozi wa mtandao huo wamekamatwa na watafikishwa kwenye mahojiano na uchunguzi zaidi, na kwamba taratibu za kisheria zitachukuliwa.

Baadhi ya vijana waliokamatwa walieleza kuwa walivutiwa na ahadi ya ajira mtandaoni baada ya kushawishiwa na wenzao.

Baadhi ya mikoa wanayotoka vijana hao ni pamoja na Mikoa Mbeya,Songwe, Ruvuma ,Songea, Tabora,Singida ,Kilimanjaro. Katavi,Mtwara , Dodoma . Kigoma , Mwanza, Manyara. na Arusha

View attachment 3237197
Taarifa ndefu sana lakini haijataja hata kwa kifupi ni Biashara gani.

Kaole sanaa group
 
Katika tukio la kushtua, vijana 132 wenye umri kati ya miaka 18 na 22 kutoka mikoa mbalimbali ya pembezoni mwa Tanzania wamekamatwa huko Mlandizi, Kibaha Vijijini mkoani Pwani, wakiwa wanajihusisha na biashara ya mtandaoni inayodaiwa kuwa ni ya kitapeli.

Biashara hii inadaiwa kufanyika kwa usiri mkubwa chini ya kampuni ya QI Group of Company yenye makao makuu nchini Malaysia.

Tukio hili lilitokea usiku wa kuamkia Februari 15, majira ya saa tatu usiku hadi saa saba, ambapo Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Salim Morcase, akiwa na maafisa wa polisi walifanya msako wa ghafla na kuwakuta vijana hao pamoja na viongozi wao katika nyumba tatu tofauti.

Morcase alibainisha kuwa mafanikio ya kukamatwa kwa vijana hao ni kutokana na taarifa za kiintelijensia, ambazo zilionesha kuwa wanajishughulisha na shughuli zinazovunja sheria na zinazotishia usalama.

Aliongeza kuwa baadhi ya viongozi wa mtandao huo wamekamatwa na watafikishwa kwenye mahojiano na uchunguzi zaidi, na kwamba taratibu za kisheria zitachukuliwa.

Baadhi ya vijana waliokamatwa walieleza kuwa walivutiwa na ahadi ya ajira mtandaoni baada ya kushawishiwa na wenzao.

Baadhi ya mikoa wanayotoka vijana hao ni pamoja na Mikoa Mbeya,Songwe, Ruvuma ,Songea, Tabora,Singida ,Kilimanjaro. Katavi,Mtwara , Dodoma . Kigoma , Mwanza, Manyara. na Arusha

View attachment 3237197
Hatari kweli kweli
 
Mchezo Ni huu👇
 

Attachments

  • Screenshot_20250125-004258.png
    Screenshot_20250125-004258.png
    956.7 KB · Views: 4
Katika tukio la kushtua, vijana 132 wenye umri kati ya miaka 18 na 22 kutoka mikoa mbalimbali ya pembezoni mwa Tanzania wamekamatwa huko Mlandizi, Kibaha Vijijini mkoani Pwani, wakiwa wanajihusisha na biashara ya mtandaoni inayodaiwa kuwa ni ya kitapeli.

Biashara hii inadaiwa kufanyika kwa usiri mkubwa chini ya kampuni ya QI Group of Company yenye makao makuu nchini Malaysia.

Tukio hili lilitokea usiku wa kuamkia Februari 15, majira ya saa tatu usiku hadi saa saba, ambapo Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Salim Morcase, akiwa na maafisa wa polisi walifanya msako wa ghafla na kuwakuta vijana hao pamoja na viongozi wao katika nyumba tatu tofauti.

Morcase alibainisha kuwa mafanikio ya kukamatwa kwa vijana hao ni kutokana na taarifa za kiintelijensia, ambazo zilionesha kuwa wanajishughulisha na shughuli zinazovunja sheria na zinazotishia usalama.

Aliongeza kuwa baadhi ya viongozi wa mtandao huo wamekamatwa na watafikishwa kwenye mahojiano na uchunguzi zaidi, na kwamba taratibu za kisheria zitachukuliwa.

Baadhi ya vijana waliokamatwa walieleza kuwa walivutiwa na ahadi ya ajira mtandaoni baada ya kushawishiwa na wenzao.

Baadhi ya mikoa wanayotoka vijana hao ni pamoja na Mikoa Mbeya,Songwe, Ruvuma ,Songea, Tabora,Singida ,Kilimanjaro. Katavi,Mtwara , Dodoma . Kigoma , Mwanza, Manyara. na Arusha

View attachment 3237197
Q NET imejivua gamba imekuwa QI kama mixx by yas
 
Ponzi scheme, Yani unatoa mfano sh 100,000 kununua bidhaa( udangangifu kwani pysical hiyo bidhaa haipo) kisha wewe unakuwa na stock ya bidhaa( virtual au sio phisical) Unaanza kuziuza kwa ndugu jamaa na marafiki wewe unapata comission. Inatengeneza chain flani.

Watu wa mwazo wanaweza anza toa pesa ili kuvutia watu wengine. Lengo la hawa matapeli likishatimia biashara hii hufa ghafla. Yani watu waliokuwa wamekusanya commission ya mamilioni wanapotaka kuzitoa wanakutana na tatizo kama la network . Hii huwafanya waishi kwa matumaini kwa muda flani lakini ndo inakuwa imetoka hiyo mwisho wanashangaa website yote haipatikani.

Viongozi wanapote na watu wanaachwa hawajui wamfuate nani.


Hakuna kipato cha bure Duniani. Hata Maneno ya Mungu yanasema asiyefanya kazi na asile. Hakikisha unatafuta pesa kwa kufanya kazi halali. Pia hakuna shortcut kwenye kupata rizk.
 
Back
Top Bottom