fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,758
- 2,713
Hawaelewi hao mbuzi..leo tena night huenda kuna sehemu watakiwasha chuga hiyohiyo...nilikuwa nina huruma sana na hawa kenge ila walichonifanyia last year nikimdaka hawezi endelea kuvuta hii free oxygen.Wezi wanaelewa Kwa lugha Kali kama hiyo.