Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Utangoja sana kwenye hiloSafi sana, bado mawaziri ndani ya serikali. Sheria ipitishwe ya kukamata mawaziri na viongozi wa serikali wezi tuwachome moto ili liwe fundisho kwa wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utangoja sana kwenye hiloSafi sana, bado mawaziri ndani ya serikali. Sheria ipitishwe ya kukamata mawaziri na viongozi wa serikali wezi tuwachome moto ili liwe fundisho kwa wengine.
Huo ndio mshahara wa wizi haswaa kama wamedakwa red handedVijana wawili ambao majina yao hayajafahamika wamechomwa moto wao na pikipiki waliyokuwa wakiitumia katika eneo la Shivaz katika kata ya Kaloleni Mkoani Arusha wakidaiwa kuiba simu
Lilia Shayo amesema vijana hao walikuwa wamemuibia mwananchi mmoja simu na wakati wanakimbia walizuiwa na wananchi nakuanza kuwashambulia.
Wiki mbili zilizopita vijana wengine wawili walinusurika kuuawa huku risasi moja ikifyatuliwa hewani baada ya vijana hao kuiba simu jambo lililopelekea wananchi kuichoma moto pikiiki waliyokuwa wanaitumia
Baada ya vijana hao kuchomwa moto walichukuliwa na askari wa jeshi la polisi baada ya wananchi wenye hasira kali kuwachoma moto.
lakini wanatumia pikipiki kuibia watu badala ya kubebea abiriaHamna ajira
Hamna bora hapo wewe usijidanganye.Bora yupoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em taja bhanaa we.
KweliWezi wawe ni vibaka, majambazi, hadi hawa wanasiasa wanaokwapua mabilioni, ni watu hatari sana kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na wa taifa.
arusha ni mji wa matukio sana mida mrefu sema mengi hayatangazwi.Arusha siku hizi hayo matukio yamekuwa mengi.
Arusha kama South Afrika......watu wamepinda sana kulearusha ni mji wa matukio sana mida mrefu sema mengi hayatangazwi.
Mm naifananishaga sana na nairobi hata swaga zao wanaiga nairobi sio dar sijui kwanini...Arusha kama South Afrika......watu wamepinda sana kule
Mimi napenda mademu zao. Hawana Mbambamba.Mm naifananishaga sana na nairobi hata swaga zao wanaiga nairobi sio dar sijui kwanini...
Hawa mara nyingi huwa wanaomba deiwaka kwa washkaji zao bodaboda halafu wanaenda kuzitumia katika uhalifuHivi ni matatizo ya akili au nini yaani kitendea kazi unacho badala kukitumia kwaajili ya kufanya shughuli halali ya bodaboda mtu unajiingiza kwenye uwizi
Hizo hela zenyewe za harakaharaka wanazozitaka hakuna cha maana watakachofanyia zaidi ya kulewea na starehe ndogondogo tu na Matokeo yake ndo hayoWanataka hela nyingi ya harakaharaka.
Tunasafari ndefu sanaMwafrika ni mtu wa hovyo sana. Tzama hata viongozi wetu wamekwapua ma bilioni y fedha lakini bado hawaridhiki na ukiwazuia kuingia madarakani wanakutoa roho.
Yaani wana mitaji ila wanakandamiza watoto wa maskini ndio wajiajiri ila wao hapana.
Sasa imagine mtu ana boda boda inayoingiza fedha kila siku lakini anataka za haraka haraka za kukwapua tu.
Juzi Dada yangu kakwapuliwa IPhone yake mchana kweupe saa nane.
Hata udeiwaka ukitulia huwezi kosa hela ya kula maana ile mara nyingi haina hesabu ni katika hali ya kugawana riziki tu kwa maderevaHawa mara nyingi huwa wanaomba deiwaka kwa washkaji zao bodaboda halafu wanaenda kuzitumia katika uhalifu
Wewe ni waziri wa nini hapa nchini maana naona umenijibu kwa hasira mno kwa kuwa umeguswa.Utangoja sana kwenye hilo
Hiko unachokitafuta, hakito timia kwa viongozi hawa kwa katiba hii, kwa aina yenu ya raia mliopo, si mpaka niwe waziri, ila mtu wa kawaida tu anaonaWewe ni waziri wa nini hapa nchini maana naona umenijibu kwa hasira mno kwa kuwa umeguswa.
Ila nairobi wamepinda zaidiMm naifananishaga sana na nairobi hata swaga zao wanaiga nairobi sio dar sijui kwanini...