Vijana 2 wachomwa moto kwa madai ya wizi wa simu Arusha

Huo ndio mshahara wa wizi haswaa kama wamedakwa red handed
 
Hivi ni matatizo ya akili au nini yaani kitendea kazi unacho badala kukitumia kwaajili ya kufanya shughuli halali ya bodaboda mtu unajiingiza kwenye uwizi
Hawa mara nyingi huwa wanaomba deiwaka kwa washkaji zao bodaboda halafu wanaenda kuzitumia katika uhalifu
 
Wanataka hela nyingi ya harakaharaka.
Hizo hela zenyewe za harakaharaka wanazozitaka hakuna cha maana watakachofanyia zaidi ya kulewea na starehe ndogondogo tu na Matokeo yake ndo hayo
 
Tunasafari ndefu sana
 
Hawa mara nyingi huwa wanaomba deiwaka kwa washkaji zao bodaboda halafu wanaenda kuzitumia katika uhalifu
Hata udeiwaka ukitulia huwezi kosa hela ya kula maana ile mara nyingi haina hesabu ni katika hali ya kugawana riziki tu kwa madereva
 
Wewe ni waziri wa nini hapa nchini maana naona umenijibu kwa hasira mno kwa kuwa umeguswa.
Hiko unachokitafuta, hakito timia kwa viongozi hawa kwa katiba hii, kwa aina yenu ya raia mliopo, si mpaka niwe waziri, ila mtu wa kawaida tu anaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…