Vijana 8 kizimbani kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja kwa kushirikiana

Vijana 8 kizimbani kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja kwa kushirikiana

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Mtungo.jpg

Watu nane wakazi wa eneo la Porikwapori wilayani Kiteto mkoani Manyara, wamefikishwa katika Mahakama ya wilaya hiyo kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja kwa kushirikiana.

Watuhumiwa hao kwa pamoja wamesomewa shtaka hilo leo Jumatatu Agosti 28, 2023 wakiwa mahakama ya Wilaya ya Kiteto chini ya Hakimu wa mahakama hiyo, Mosi Sasy.

Mwendesha mashtaka wa Serikali Salumu Issa, akiwa mahakamani hapo amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Elia Jonas (18), Yajobo Ngoda (20), Abdul Alfa (20), Amos Chales (20), Chales Kiweresa (31), Konja Frank (19), Amos Msalia (18) na Mkombozi William (20).

Watuhumiwa hao walisomewa shitaka kuwa huko Porikwapori wakiwa kwenye sherehe nyakati za usiku walitenda kosa kinyume na Kifungu 131 A (1), (2) cha sheria ya kanuni ya adhabu sura 16 kama ilivyofanyiwa mapitio mwaka 2022.

Hakimu sasi aliwauliza watuhumiwa hao hapo mahakamani kama walitenda kosa hilo ambapo walikana shtaka lao hilo, huku mwendesha mashitaka wa Serikali Salumu Issa akimweleza Hakimu Sasy kuwa upelelezi umekamilika.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Septemba 12, 2023 na kuelezwa kuwa dhamana kwa washitakiwa iko wazi na kutakiwa wafuate masharti yaliyowekwa na mahakama hiyo.

Mwananchi
 
Mbona umri wao wengi hapo walitakiwa wawe shuleni (High school ama Vyuo) ukiachana na huyo mwenye 31

Isije kuwa huyo Mwanamke alichukua hela kwa wote hao alafu akawa anawakimbia
Hata kama amechukuwa fedha haihalalishi kumbaka. Wasiwasi wangu ni kuwa Tanzania mtu unaweza kusingiziwa chochote hivyo tusiwahukumu wote bila kujua undani wake.
 
Sheria ichukue tu mkondo wake. Maana hakuna namna nyingine. Ukatili kwa wanawake na watoto haukubaliki hata kidogo.
 
Hizo sio nyege tena. Mtu nane? Ila mwanamke nae mwamba. Ame survive?
 
Hivi bado kuna vijana wanakula mande karne hii ya 21 huku kukiwa na mademu mpaka wa buku

Sent using Jamii Forums mobile app
Temea mate chini. Mademu wa buku Ni huku Dar, Mbeya na Dodoma. Huko vijijini bila kutongoza hata ukiwa na hela harufu ya puchi utaisikia kwenye vijiwe.
Ukiwa Domo zege huko vijijini inabidi ujiunge na chaputa.
Kumbuka huko hakuna wahaya Wala kimboka au sugar Ray.
 
Daah wakati pisi zipo za kumwaga sijui wadogo huwa wanawaza nini aisee matukio ya Kiteto na Songwe ni kiboko utadhani wapo Kandahari...
 
Back
Top Bottom