Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly ni wasela kinyesi,[emoji24][emoji24][emoji24]they can't think properly [emoji24] ukiona watu Zaidi ya watatu wanafanya ujinga unaofanana ( uniformly) tambua kuwa ni banch of mental retarded people who are [emoji24][emoji24][emoji24]Washamba hao wasela mavi ngoja wakanyee debe akili zikae sawa.
Hata mimi nimeshangaa...Kesi ya ubakaji Ina dhamana kumbe?
Mtu anajifungua mapacha watatu na anadunda sembuse vimshedede 8 ukute kati ya hivyo vitano ni vibamia....Hizo sio nyege tena. Mtu nane? Ila mwanamke nae mwamba. Ame survive?
Gereza kiboko mbigili.Kama ni kweli, sweka ndani peleka magereza ya vilimo manina zao, waanze na hilo la miaka 31 kubwa jinga linapiga mande na madogo umbwaa kabisa!
Watajuta kuendekeza upwiruGereza kiboko mbigili.
Sasa wataingiaje Telegram wakati hata simu hawana?Mpo 8 mnakopa wanawake 3 mnapiga orgy.
Wapo telegram. Wapo online.
Ya nini kuruka na mtu hataki?
Mwendesha mashtaka wa Serikali Salumu Issa, akiwa mahakamani hapo amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Elia Jonas (18), Yajobo Ngoda (20), Abdul Alfa (20), Amos Chales (20), Chales Kiweresa (31), Konja Frank (19), Amos Msalia (18) na Mkombozi William (20).
Watu nane wakazi wa eneo la Porikwapori wilayani Kiteto mkoani Manyara, wamefikishwa katika Mahakama ya wilaya hiyo kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja kwa kushirikiana.
Watuhumiwa hao kwa pamoja wamesomewa shtaka hilo leo Jumatatu Agosti 28, 2023 wakiwa mahakama ya Wilaya ya Kiteto chini ya Hakimu wa mahakama hiyo, Mosi Sasy.
Mwendesha mashtaka wa Serikali Salumu Issa, akiwa mahakamani hapo amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Elia Jonas (18), Yajobo Ngoda (20), Abdul Alfa (20), Amos Chales (20), Chales Kiweresa (31), Konja Frank (19), Amos Msalia (18) na Mkombozi William (20).
Watuhumiwa hao walisomewa shitaka kuwa huko Porikwapori wakiwa kwenye sherehe nyakati za usiku walitenda kosa kinyume na Kifungu 131 A (1), (2) cha sheria ya kanuni ya adhabu sura 16 kama ilivyofanyiwa mapitio mwaka 2022.
Hakimu sasi aliwauliza watuhumiwa hao hapo mahakamani kama walitenda kosa hilo ambapo walikana shtaka lao hilo, huku mwendesha mashitaka wa Serikali Salumu Issa akimweleza Hakimu Sasy kuwa upelelezi umekamilika.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Septemba 12, 2023 na kuelezwa kuwa dhamana kwa washitakiwa iko wazi na kutakiwa wafuate masharti yaliyowekwa na mahakama hiyo.
Mwananchi
Hahaha nimeelewa unachomaanishaHivi kwa kosa hili ukipewa zamana unakuja kusikiliza kesi na kufungwa?
Wimbo mmoja wa Sengeli unaitwa 'Safari ya Beach' kuna kipande mwimbaji anasema 'yule dada kavaa dela katoa kiwiliwili nje ya Gari alafu kiuno kawaachia Masela' hio 'kiuno kawaachia 'Masela' anarudia km mara 4 hiviHivi bado kuna vijana wanakula mande karne hii ya 21 huku kukiwa na mademu mpaka wa buku
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna many psychopaths ambao wanaenjoy kuona hofu kw macho ya watu na kuwatendea ukatili; Rape sio kuhusu nyege tu all the time; muda mwingine ni kudhalilisha na kutumia nguvu kumuumiza mtu.Hivi bado kuna vijana wanakula mande karne hii ya 21 huku kukiwa na mademu mpaka wa buku
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani inashangaza sana....wapumbavu hawataisha dunianiHivi bado kuna vijana wanakula mande karne hii ya 21 huku kukiwa na mademu mpaka wa buku
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nimeshangaa, jamaa watawakimbia wadhamini wao hao 30 years behind bars is not joke!Kesi ya ubakaji Ina dhamana kumbe?