Vijana 8 kizimbani kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja kwa kushirikiana

Yaende tu jela yakikaa mtaani yataharibu watoto wa watu
 
Washamba hao wasela mavi ngoja wakanyee debe akili zikae sawa.
Exactly ni wasela kinyesi,[emoji24][emoji24][emoji24]they can't think properly [emoji24] ukiona watu Zaidi ya watatu wanafanya ujinga unaofanana ( uniformly) tambua kuwa ni banch of mental retarded people who are [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Wameingia miaka 18 kwa kishindo..
Watatamani watoe hata siku moja iwe 17.9 kwamba walikuwa watoto kuna tofauti kubwa ya adhabu
 
Mpo 8 mnakopa wanawake 3 mnapiga orgy.

Wapo telegram. Wapo online.

Ya nini kuruka na mtu hataki?
 

Huyu mbona anaonekana kabisa siyo kijana
 


Hivi kwa kosa hili ukipewa zamana unakuja kusikiliza kesi na kufungwa?
 
Hivi bado kuna vijana wanakula mande karne hii ya 21 huku kukiwa na mademu mpaka wa buku

Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo mmoja wa Sengeli unaitwa 'Safari ya Beach' kuna kipande mwimbaji anasema 'yule dada kavaa dela katoa kiwiliwili nje ya Gari alafu kiuno kawaachia Masela' hio 'kiuno kawaachia 'Masela' anarudia km mara 4 hivi

Sasa km ulikua huwajua 'Masela' ni akina nani hao ndio 'Masela' hawana karne
 
Vijana sifa za kijinga siku zote zinawaponza...inawezekana binti alikuwa cha mmoja wao wakasema tukamkomeshe... wacha wakakinyee kidebe!
 
HUWEZI Kuta WAZUNGU wanafanya Upuuzi kama huo.

Africa ni LAANA.

Mtungo wanaume nane kwa mwanamke mmoja WANATAFUTA NINI HASWA!!??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…