Nadhani wewe ndiye mwenye ushamba. Katoa ushauri tu. Suala la kutokuwa na hela siyo tatizo lake. Unategemea watu wenye connection waje wakutafute nyumbani kwenu.Mtizamo wako ni wa kishamba sana we jamaa, sasa mtu hana ajira hela ya kwenda Serena hotel anaipata wapi?!
Kwani connection zinapatikana mahotelini tu?! We jamaa nimekudharau sana. Haya nenda wakakushike shike kuna wazee huko kwenye hayo mahoteli ndo kazi zao hizo wanataka vijana wapenda miteremko km nyieNadhani wewe ndiye mwenye ushamba. Katoa ushauri tu. Suala la kutokuwa na hela siyo tatizo lake. Unategemea watu wenye connection waje wakutafute nyumbani kwenu.
Hata chawa mnafahamianaUchawaaa
Wabongo kwa kutafta sifa mtu anashinda Masaki analala Tandika😅Shida ni hizo hela za kuingia huko Serena hotel
Plus timing yupi ni kigogo yupi ni mzugaji au yupo ni profesa ndumilakuwila
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuna uwezekano ukaenda na Ukakutana na wazugaji wenzako, na ukapigwa za uso; kuna means nyingi tu za connection; Sidhani kama watu wote waliotoboa maisha walienda maeneo hayo.Trust me! Ukihudhuria maeneo hayo kwa wiki na ikatokea hujapata connection ya maana basi jua una mkosi mkubwa sana.
Shida inaanzia hapoWabongo kwa kutafta sifa mtu anashinda Masaki analala Tandika[emoji28]
Hapo ndio unafanya maisha yazidi kuwa magumuWabongo kwa kutafta sifa mtu anashinda Masaki analala Tandika[emoji28]
Hapo ndio unafanya maisha yazidi kuwa magumuWabongo kwa kutafta sifa mtu anashinda Masaki analala Tandika[emoji28]
Unateseka kwa mikopo kisa kutafta connection hotelini si bora uombe internship ya upishi ulipwege posho
Sasa hapa unatusema tulioajiriwa Masaki na tunaishi Tandika! Acha hizoWabongo kwa kutafta sifa mtu anashinda Masaki analala Tandika😅
Hahahahah mlioajiriwa Masaki mna exception ila wauza sura ndio hasa nimewalenga hapa!Sasa hapa unatusema tulioajiriwa Masaki na tunaishi Tandika! Acha hizo