Vijana acheni kunywa bia kwenye vibanda umiza, connection zote za maisha zinapatikana katika mahotel makubwa hapa mjini

Huko sea cliff pia kuna connection za mashuga mammy pia
 
Hahahaha hio inahitaji Bachelor of Arts in Chawaism and Boss Management!

Mie ni muongeaji mzuri ila ni mpaka mtu aoneshe interest ila sina guts za kukurupukia mtu tu ghafla simjui wala hanijui[emoji28]
Kama mnaangalia football mtajikuta mnaconnect kirahisi tu [emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Unajichanganya unadhani upo na kampani ya maana baada ya mda unashangaa mnapiga stori za mikeka tena ya jero jero [emoji1][emoji1][emoji1][emoji2]

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huu Uzi umenifanya nicheke sana

Ila watu mna makasiriko sana
 
Angalizo kama wewe mnywaji ukilewa unaanza kulia kupiga makelele Kila mziki ukipigwa unacheza huna ustarabu matusi nje nje kushika shika wahudumu hizo sehemu usiende utajikuta umeamkia kituo cha polisi

Hayo maeneo yanaitaji ustaharabu wa hali ya juu kunywa lewa tulia siyo ugeuke kondeboy au diamond kelele kibao hakuna.

Mtoa mada niongezee nyama kidogo dress code nayo Ina matter wewe graduater mzima unanyoa mitindo ya kiswahili Swahili tu unavaa modo jeans yani huna muonekano kushawish mtu take kujua wewe nani kwanini upo pale yani akikuona tu anajua uyu dancer kaja location hili si kwa boys tu hata girls jaribuni jitafuta katika dress code si lazima uvae suali ya kitaaa na shati la kitenge au bibie uvae gauni hapana be simple but classic.
 
😂😂😂😂😂😂😂Dah,Ila kweli mkuu kiuhalisia mtu hawezi fanya hayo mambo
 
Huyo jamaa ni wewe mwenyewe....... hongera boss kwa kutusua na tunakushukuru kwa kutupa mbinu za kutusua.
 
Wapo wachache wenye hulka za namna hiyo lakini haiwezi kuwa suluhisho kwa vijana wengi ambao hawana ajira........inaweza kufikia hoteli ya nyota tano ikawa kama kijiwe cha kahawa.
Ndio hapo, graduates nchi hii wapo wangapi...kila graduate akisema aende huko kutatosha?
 
Upo sahihi kabisa...hili huchukua muda mrefu maana sio kila unayemuona huko anaweza kukupa connection..
 
Hahahahha unashiba ma popcorn karanga na mitori af ndafu na kuku unaziangalia tu😅
...Sema basi tu tunaogopa aibu....ila sehemu kama hizo ni vizuri kwenda na vifungashio (mifuko) ya akiba hivyo vinavyobaki unabeba........sema huwezi fanya hivyo mbele ya washua maana utajichafulia CV ambayo ingekusaidia mbeleni.
 
Mzee anadhani bado tupo enzi za akina Warioba/Msekwa, maisha yamebadilika sana! And bahati mbaya siku hizi kutoa kiboga siyo lazima uwe umelegea legea, unaweza ukajiaminisha unasura ngumu lakini bado watu "wakarara mbere" na wewe
Hahahahahaha manina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…