Hahahahaha unaonekana mzee wa take away...Sema basi tu tunaogopa aibu....ila sehemu kama hizo ni vizuri kwenda na vifungashio (mifuko) ya akiba hivyo vinavyobaki unabeba........sema huwezi fanya hivyo mbele ya washua maana utajichafulia CV ambayo ingekusaidia mbeleni.
Sidhani. Msome vizuri. Anatoa life skills.Unawaanda chawa wa baadae kaka
Hayo sio makofi, ni MbataNdoto za alinacha...mm ukinikuta sehemu nmetulia napunguza stress alaf ukaja kujichanganya nakutoa na makofi ya shingo.
Mkuu sasa tusipovaa modo si tutaonekana washamba au?Angalizo kama wewe mnywaji ukilewa unaanza kulia kupiga makelele Kila mziki ukipigwa unacheza huna ustarabu matusi nje nje kushika shika wahudumu hizo sehemu usiende utajikuta umeamkia kituo cha polisi
Hayo maeneo yanaitaji ustaharabu wa hali ya juu kunywa lewa tulia siyo ugeuke kondeboy au diamond kelele kibao hakuna.
Mtoa mada niongezee nyama kidogo dress code nayo Ina matter wewe graduater mzima unanyoa mitindo ya kiswahili Swahili tu unavaa modo jeans yani huna muonekano kushawish mtu take kujua wewe nani kwanini upo pale yani akikuona tu anajua uyu dancer kaja location hili si kwa boys tu hata girls jaribuni jitafuta katika dress code si lazima uvae suali ya kitaaa na shati la kitenge au bibie uvae gauni hapana be simple but classic.
Tembelea jukwaa la mitindo hapa JF utajifunza vingiMkuu sasa tusipovaa modo si tutaonekana washamba au?
Kwny kunyoa, naomba kujua ni mitindo gan inaonekana kuwa ni ya kiswahiili/kihuni?
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Unataka ukaliwe tigo acha skutegemea mwanaume mwenzio pga hata kaz ya zege jilegeze uoneMkuu sasa tusipovaa modo si tutaonekana washamba au?
Kwny kunyoa, naomba kujua ni mitindo gan inaonekana kuwa ni ya kiswahiili/kihuni?
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Umeelewa swali langu au umekurupuka tu kuropoka? Kwan mm wapi nmeandika nategemea mwanaume mwenzangu?Unataka ukaliwe tigo acha skutegemea mwanaume mwenzio pga hata kaz ya zege jilegeze uone
M nawewe nan anatopoka???pole kavae nyoa vizur nenda katege kwa wanaume wenzio wakulipue pole sana mkuu uko legelege inaonekanaUmeelewa swali langu au umekurupuka tu kuropoka? Kwan mm wapi nmeandika nategemea mwanaume mwenzangu?
Humu jukwaan watu mna stress sana yan mnaropoka ropoka hovyo unaulizwa hiki, unajibu kile yan tafrani tupu
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app