Vijana acheni kunywa bia kwenye vibanda umiza, connection zote za maisha zinapatikana katika mahotel makubwa hapa mjini

Vijana acheni kunywa bia kwenye vibanda umiza, connection zote za maisha zinapatikana katika mahotel makubwa hapa mjini

Eeh bana umeongea point moja kubwa sana…
Mimi nilipata mchongo mmoja ambao ulibadilisha maisha yangu toka kwa bi maza mmoja nilikutana nae kwenye dating site (badoo).. ki ukweli nia yangu ilikua kumkula [emoji23][emoji23][emoji23] lakini katika harakati za kumpanga apangike nikagundua ni mtu na heshima na connection zake, ikabidi niwe chawa kama Mwigulu na mwisho wa siku akanipa pass moja kali sana nikapata tender eneo flani..

toka siku hiyo nikamuheshimu na mawazo ya kumkula yakaisha kabisaaa nampa shikamoo yake hadi leo..

Sema kwenye bar yahitaji uvumilivu sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unakutana na mijomba inajifanya kitengo uminakulisha matango pori na wewe unakuja kutambia kitaa kwamba una intel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakubaliana na wew kbsaa Kuna jmaa namfahamu alisoma pale udsm engineering sas alikuwa anapendelea sna kwenda kwenye mahotel makubwa kwenda kutazama mpira na yey Ni shabiki wa man u kindakindaki humwambii kitu chochote kuhusu man siku moja
J mosi fln HV alikwenda kutazam man u ikicheza na Chelsea kipindi Cha sir fegi bas bhna ktk kushangilia kumbe alikuwa ameketi karibu na MD wa voda kumbe md wa voda Ni shabiki wa man u bas wakawamarafiki wakapeana namba wakah wanakutana Apo kweny hotel kweny mech zote za man u bas jmaaa alivyotambuwa kuwa Ni mtu mzito inabdi amzomee gap ..na kumuambia tafadhali amzadie kibarua pale voda kwa kuwa Hana Kaz kwa sasa jmaa akamumbia nitumie cv zako kwa email zake bass jmaa jtatu akapigia simu aripoti mjengoni nakuanza Kaz Kama engineer ...yule braza mpk sas Ni mtu mzito sna mtaani na kwa kuwa moja Kati ya vijana vigogo sana


Hvyo nakubaliana na wew kuwa Hakuna michongo yoyote ktk vibanda umiza kbsa michongo iko julina na element na samaki samaki na viwanja vingine vikubwaa kubwaa haswaa ndio utakowapata Hawa watu mashuhuri na mhrs wakubwa
 
Tusiokunywa pombe unatushauri tukiingia humo tutumie vinywaji gani mkuu?

Maana mwaka fulani nilifukuzwa na jamaa zangu eti nawaletea nyuki kisa wao wanakunywa beer mimi nina grand malt kwenye meza yao,ila fresh tu but wanywa pombe Mungu anawaona.
We nenda oysterbay pale shopers pembeni yake kuna mgahawa unaitwa kahawa.Pale utapata kahawa aina zote duniani na bites za kila namna.Watu utakaowakuta pale kila mtu kapaki Audi new shape Ford ranger Bmw na nyingine kali kali so utapata connection.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufupi unakuta kijana kasoma chuo, kakaaa mtaani zaidi ya miaka tano (5) hana ajira, kijana huyuhuyu unamkuta kwa mangi ama kwenye baa za kawaida anafakamia kongagi ama K- vant kupunguza stress.

Sasa ngoja niwape siri ukitaka kufanikiwa mara moja moja tembeleeni hotel kubwa kubwa mfano ( sea cliff ama capetown) kule ukifika nunua bia yako hata moja (Heinekein ama Windhoek) zugazuga baadae jichanganye na wazee wanaofika maeneo hayo.

Trust me! Ukihudhuria maeneo hayo kwa wiki na ikatokea hujapata connection ya maana basi jua una mkosi mkubwa sana.

Nimemsaidia kijana miaka kadhaa ya nyuma na anahudumu katika serikali ya Mama Samia.

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kwamba leo kanitumia milioni tano Cash kama shukrani.
Mtizamo wako ni wa kishamba sana we jamaa, sasa mtu hana ajira hela ya kwenda Serena hotel anaipata wapi?!
 
We nenda oysterbay pale shopers pembeni yake kuna mgahawa unaitwa kahawa.Pale utapata kahawa aina zote duniani na bites za kila namna.Watu utakaowakuta pale kila mtu kapaki Audi new shape Ford ranger Bmw na nyingine kali kali so utapata connection.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Nitaweka venue zangu baadae ambapo huko ukihubdhuria utakutana na watu ambao simu moja tu inaweza badilisha maisha yako. Ila jitahidi uwe msomi na smart in appearance usije na mlegezo wako
 
Nimelisema hapo uwe smart wa akili na mavazi hata kama hujaja na gari utaondoka utapata lift ya Range rover hadi kwenu, business card na laki ya matumizi ila utasikia neno please find me before monday…

Hapo jua umeula.
[emoji2][emoji2]
 
Kwa ufupi
IMG_20220110_200337_616.jpg
 
Back
Top Bottom