Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Sawa Chief, nenda na hayo mambo yako ya codes and kafakamie JD za watu SerenaNdio moja ya connections hiyo ...unashangaaa
Watu Wana drive wamepanga kwa hizo mishe.
Kuna kuwa na codes zao mdingi hakurupuki tu hovyo
hayo mambo hutegemea ntu na ntu boss,mi nadhani ukienda ukakaa sehemu then usiwe na shobo na mtu kuna namna tu bond inajitengeneza yenyewe ya heshima kabisaMzee anadhani bado tupo enzi za akina Warioba/Msekwa, maisha yamebadilika sana! And bahati mbaya siku hizi kutoa kiboga siyo lazima uwe umelegea legea, unaweza ukajiaminisha unasura ngumu lakini bado watu "wakarara mbere" na wewe
Aisee sipati picha kijana mwenyewe kakaa anakunywa soda yake halafu anapigwa kijichoπLabda nyakati zenu, siku hizi hizo sehemu zimejaa mafirauni sana, ukienda kibwege bwege midingi itaanza kukukonyeza, kukuletea drinks na kukuachia namba za simu wakidhani unauza kiboga
Point ya mtoa post inaendana na ule msemo wa kiswahili kwamba mkaa bure si sawa na mtembea bure, lengo la mtoa post ni kwenda kukutana na watu sio lazma maeneo ya starehe tu hata kwenye nyumba za ibada sio watu kukaa ndani kujifungia kutwa kucha ndio maana akasema connections hazitafutwi nyumbani.Sawa mkuu ila tunaomba na hela za kwenda kulia nyamachoma kwenye festival!
Mkiambiwa kila kitu kinataka mtaji muelewe[emoji28] huwa mtaji sio kwenye biashara tu sikuhizi ni mpaka mahusiano hadi connection za kazi!
Mzee connections haziko kwenye nyama choma festival tu au serena hotel hata makanisani, jumuiya, misikitini n.kInawezekana ikawa kweli, ila ni wangapi wamefanikiwa kwa njia hii kati ya wengi. Inawezekana njia hii imemsaidia mtu fulani ila ni bahati tu imetokea kwake ikajadiliwa kazi au mchongo.
Maana Sasa kwenye festival utajuaje huyu Ni manager, director au Ceo mahali Fulani ? au Wanakuaga na label ?
Kwahiyo wewe Ni kuzunguka festival nzima kuomba na kuongelea shida ya kazi , kwelii ? [emoji1787][emoji1787]
Yaani mtu azunguke Kwenye mashughuli ya starehe yote ya mjini ili abahatishe kukutana na managers, Ceo , directors hata uhakika kwamba watakuwepo haupo na Wala hawajui.
Labda uniambie zile events za proffessionals nitakuelewa.
Mambo mengine Ni bahati tu, unaweza kukutana na muujiza wako wa kazi hata barabarani. Sio basi mtu akifanikiwa kwa njia hii na wewe unaanza kuzunguka barabarani eti barabarani Kuna connections [emoji3][emoji3]
Duniani lilia bahati mambo Mazuri yatakufuata haijalishi eneo, usisahau pia kufanya bidii Yenye akili. Ukiwa tayari umejipanga kupokea muujiza utapokujia.
Sawa sawa mkuu wacha nikasali cardinal rugambwaPoint ya mtoa post inaendana na ule msemo wa kiswahili kwamba mkaa bure si sawa na mtembea bure, lengo la mtoa post ni kwenda kukutana na watu sio lazma maeneo ya starehe tu hata kwenye nyumba za ibada sio watu kukaa ndani kujifungia kutwa kucha ndio maana akasema connections hazitafutwi nyumbani.
Kuna watu wanaenda kuabudu kwenye nyumba flan za ibada kwa sababu kuna vibopa wengi wanaenda huko pengine wanaweza kujenga mazoea na kuongea zaidi na mtu kupenyeza lengo lake, wengine wamepeana connections kwenye kusali jumuiya so sio lazma kwenye nyama choma festival au samaki samaki.
Wengine makongamano ya vijana tu yamefanya kujuana na watu wengi wenye taaluma mbalimbali na kupeana michongo sio mambo yote yanataka mitaji vingine brain yako tu ndio mtaji.
Kwa ufupi unakuta kijana kasoma chuo, kakaaa mtaani zaidi ya miaka tano (5) hana ajira, kijana huyuhuyu unamkuta kwa mangi ama kwenye baa za kawaida anafakamia kongagi ama K- vant kupunguza stress.
Sasa ngoja niwape siri ukitaka kufanikiwa mara moja moja tembeleeni hotel kubwa kubwa mfano ( sea cliff ama capetown) kule ukifika nunua bia yako hata moja (Heinekein ama Windhoek) zugazuga baadae jichanganye na wazee wanaofika maeneo hayo.
Trust me! Ukihudhuria maeneo hayo kwa wiki na ikatokea hujapata connection ya maana basi jua una mkosi mkubwa sana.
Nimemsaidia kijana miaka kadhaa ya nyuma na anahudumu katika serikali ya Mama Samia.
Sababu ya kuleta kisa hiki ni kwamba leo kanitumia milioni tano Cash kama shukrani.
Kama huna hela huwezi kukosa shobo Chief, kuna kaconfidence flani kanakuwa hakapohayo mambo hutegemea ntu na ntu boss,mi nadhani ukienda ukakaa sehemu then usiwe na shobo na mtu kuna namna tu bond inajitengeneza yenyewe ya heshima kabisa
Hahaha akijua kwamba vigogo wa nchi nzima wako kule hawezi kukosa wa kudandiaKwa kweli maisha sio rahisi kiasi hicho..Kuna Dada mmoja haya Mambo ya kusafiri alisafiri mpaka Chato kumzika jiwe,,kumbe behind the scenes Hilo halikuwa lengo
Pale niliingia mwaka flani niko form 5 kuna event ilikuwepo ya mwisho wa mwaka. Mle ndani mimi ndio nilikuwa mwembamba kuliko wote haijalishi umri wao, hata madogo walikuwa na vitambi. Nililipiwa laki ikiwa ndio kiingilio cha chini ila ikawa ndio party yangu ya gharama kubwa kuingia mpaka leo. Humo nikakutana na watu wakubwa kina Jokate, mabalozi na watu wengine ila nilikuwa hadhi ya chini. Ndio mwanzo wa kuwapenda Malaika Band wale waimbaji wanajua.Sawa sawa mkuu wacha nikasali cardinal rugambwa
Bwana we!acha kabisaHa
Hahaha akijua kwamba vigogo wa nchi nzima wako kule hawezi kukosa wa kudandia
Sasa wewe hapa ndio umenyoosha maelezo. Kwenye hizi sehemu ulizotaja kuna uwezekano wa kupata connection maana ni rahisi kumu-approach mtu au unakuta mnaonana Mara kwa mara kwahiyo ni rahisi mtu kukupa muda wake akakusikiliza au mkabadilishana mawasiliano. Nyumba za ibada, makongamano, events mfano uzinduzi wa kitu Fulani n.k UnaonaaaPoint ya mtoa post inaendana na ule msemo wa kiswahili kwamba mkaa bure si sawa na mtembea bure, lengo la mtoa post ni kwenda kukutana na watu sio lazma maeneo ya starehe tu hata kwenye nyumba za ibada sio watu kukaa ndani kujifungia kutwa kucha ndio maana akasema connections hazitafutwi nyumbani.
Kuna watu wanaenda kuabudu kwenye nyumba flan za ibada kwa sababu kuna vibopa wengi wanaenda huko pengine wanaweza kujenga mazoea na kuongea zaidi na mtu kupenyeza lengo lake, wengine wamepeana connections kwenye kusali jumuiya so sio lazma kwenye nyama choma festival au samaki samaki.
Wengine makongamano ya vijana tu yamefanya kujuana na watu wengi wenye taaluma mbalimbali na kupeana michongo sio mambo yote yanataka mitaji vingine brain yako tu ndio mtaji.
Hahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
witnessj hebu njoo
Hahahaha[emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu acha kupandikiza kirusi cha kujikombakomba na kujipendekeza
π€£π€£ Wanakutungia na jina la a.k.a kabisaUnaletewa menu unasema tulia ntakuita π ukifululiza na huu ujinga siku 3 ukifika siku ya 4 wahudumu wanakupita tu kama hawakuoni hata hukaribishwi wala huulizwi kitu maana hata tip hutoi!
Connectn ya kibabe hii πππPis kale za mjini zote zimejiongeza baada ya kuzalishwa na mabosi Γ±a kuhamia Dodoma kwahiyo Sasa hivi pis kale zote Ni single Maza na zimejiongeza kufungua pub na sisi ndio tunaponea hapo kwa kuchanganya damu
Sasa nimenuliwa nifanyeje nafakamia tu ma Hennessy na JD bila shida. Kwani Kila ombi lazima likubaliwe. Vibosile wa serena hawana tabu. Uswahilini huku ukipewa ofa ukakubali lazima uilipe tu.Sawa Chief, nenda na hayo mambo yako ya codes and kafakamie JD za watu Serena
Hahahahahah pale amna connection kuna jau tuπHahahahahaha
Nimeona asee nimecheka kisengee.... connection uipate club ya wazee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]