Vijana acheni kuwekeza sana kwenye decorations za duka badala ya stock

Sasa zile ni decoration au bidhaa we nawe yani izo izobidhaa ndo wanafanyia decoration
Unawasema wauza nyanya na mifuko ya plastiki si ndio? Sasa decorations kwenye banda la nyanya ya nini. Tafuta Wachaga wauza electronics, accessories & gadgets uone kama hawajafanya decorations
 
Sio kila anayefungua duka ni muuza duka watu wana minuo zao duka ni kuzuga tu kama uhamini njoo sinza uone mabalaa huku..
 
Sometimes muonekano unatishia, unaeza ona duka lipo decorated sana ukaogopa ukidhani bei nazo zitakuwa na hadhi ya muonekano kumbe sio.
 
VIJANA WATULIZE SANA AKILI KWENYE BIASHARA, BADO WANA DANGANYWA SANA WALIO KWENYE BIASHARA PIA ISITOSHE NA WAO PIA WANAJIDANGANYA!
 
Kuna kitu sisi vijana wengi tunapotezwa sana decoration inatakiwa kuwa ya kawaida very simple but with elegant design sasa wengi inakuwa ndo mtu anaanza biashara anaweka mbwembwe nyingi hapo tutapoteana . Pia renovation inaweza kufanyika kila baada ya mda flan
 
amepanic kivipi wakati amekwambia "Kama huu ushauri hauendani na biashara yako inavyotaka basi ni vyema na sahihi kutoufuata" au we unajibu lako unataka akupe?
 
Ninayo app nzuri ya kupiga mahesabu ya duka.Inafaa kutumia wakati wa kufanya stock.
1.Unaweza kujua duka lako limekuingizia sh. kwa mwezi au kwa mwaka.
2. Inaonyesha thamani stock iliyopo dukani
3. Inaonyesha Kila bidhaa unayouza Ina faida ya sh. ngapi
4. Kama Kuna upotevu wa fedha inaonyesha.

INAFAA KUTUMIA KWENYE SMART PHONE AU COMPUTER

Ili kuitumia unatakiwa kuwa na rekodi sahihi za Kila manunuzi na mauzo ya Kila siku. Nicheki Whatsapp 0753546162
 
umeshindwa kueleza vizuri tu mkuu..inategemea biashara unayoifanya unauza bidhaa zinazodeal na decoration then dukani kwako pawe pa hovyo hovyo kweli??.
Hajasema usifanye decorations kabisa, kasema unafanya kiasi tu kwa kua ndio unaanza, baadae sasa ndo unafany kwa kutumia sehem ya faida unayopata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…