Vijana acheni pombe na Energy drinks, mwifwa

Hyo siyo taarfa njema kwa moo na bakheresa


Ingawa wangewahoji hao vijana juu ya matumiz Yao ya energy na pombe usikute hao vijana wanakuula kitimoto kwa wingi
 
Thibitisha kuwa Bangi ina tatizo kwa kutueleza ni kwa vipi ina tatizo
Wengi wanakuwa na tatizo la afya ya akili na wanakuwa very emotional , inaathiri sensitivity ya mtu anaweza akawa na mihasira isiyokuwa na sababu
 

Attachments

  • Screenshot_20240316-194402_Instagram.jpg
    296.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240316-194427_Instagram.jpg
    389.3 KB · Views: 3

Pombe, sigara, bangi, shisha, energy drinks, kutumia dawa za kutuliza maumivu hovyo, nguruwe, na ngono zembe jitahidi uviepuke
Tafadhali Sana ndugu yangu, hebu mtoe huyo mnyama hapo tafadhali ili tuende sawa😂😂😂
 
Wewe unafikiri wazee wetu walipokuwa wanasema ukifanya kitu fulani ni taboo walikuwa wajinga? Walijua ukianza kutoa maelezo mtaanza kuya -critique kwa sayansi zisizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…