Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Hayo madude sio mazuri yanaongeza sana mapigo ya moyo na yanaweza kukupelekea kupata matatizo ya shinikizo la damuAisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. 🤣🤣🤣
😂😂😂TUMEKUELEWA PROF. JANABA😅😅
Ni sawa ila hapo sababu sio bangi, ni aidha msongo wa mawazo au alikuwa MgonjwaWengi wanakuwa na tatizo la afya ya akili na wanakuwa very emotional , inaathiri sensitivity ya mtu anaweza akawa na mihasira isiyokuwa na sababu
80% itakwenda na maji kama ndio hivyonguruwe, na ngono
Safi sana jiandae bajeti yakusafisha FigoAisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ini, Moyo,Figo, Kongosho vyote vipo safi MkuuSafi sana jiandae bajeti yakusafisha Figo
Halafu mwenyewe unacheka kama umeandika kitu cha kufurahisha vile!!😏😏😏 ovyoooAisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. 🤣🤣🤣
Nguruwe?😳Pombe, sigara, bangi, shisha, energy drinks, kutumia dawa za kutuliza maumivu hovyo, nguruwe, na ngono zembe jitahidi uviepuke
Utakufa sio sifaAisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajisifia ujinga mkuu? Archana na tabia zinazohatarisha afya yako.Aisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huenda watengenezaji wake ndiyo wanaolipa kodi kubwa serikalini!Serikali ipige marufuku hizi energy drinks hasa za kwenye chupa za plastic maana zinauzwa mno bei rahisi.
Kama kuna ulazima ziwepo basi ziwepacked kwenye kopo za Alluminium na moja iuzwe 6,000 ili kuthibiti unywaji holela.
Kama pombe za karatasi za viroba zilipigwa marufuku, Serikali inashindwa nini kupiga marufuku huu ulevi wa energy drink ili kuokoa nguvu kazi ya nchi na kupunguza mzigo mkubwa kwa sekta ya afya?
Kapime figo na ini then utuletee majibu... Mara nyingi elimu yetu watu wanafikiri tunasoma ili tupate kazi au kuajiriwa. Ukweli ni kwamba elimu ni maisha, waliosema ni ufunguo wa maisha walikuwa sahihi. Ukiwa umeelimika huwezi tuu kuamua kujinywea chupa 6 za energy drinks kwa sababu utakuwa unajua madhara yake, ukiwa umeelimika utajua huwezi kufanya sex peku peku kwa sababu unaweza kupata magonjwa au unplanned pregnancies, ukiwa umeelimika.... the list goes on and on...Aisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
.... usi.. Acha kujumuisha wengine, wewe endelea na kuuwa figo zako..Usitupotezee mda!
Kodi zao zinaishia kutibu wagonjwa wa figo labda 1000 tuu..Wanalipa Kodi nyingi sana, anaupiga mwingi
Elimu, elimu, elimu... Uzuri ni kwamba figo au ini havina replacement...Hizo ni myth tu, Mimi niko fresh Sina tatizo lolote kwenye organs zangu zote.
Niko vizuri halafu unywaji huo ulikuwa ni zaidi ya miaka 6 au 7 nyuma sio leoKapime figo na ini then utuletee majibu... Mara nyingi elimu yetu watu wanafikiri tunasoma ili tupate kazi au kuajiriwa. Ukweli ni kwamba elimu ni maisha, waliosema ni ufunguo wa maisha walikuwa sahihi. Ukiwa umeelimika huwezi tuu kuamua kujinywea chupa 6 za energy drinks kwa sababu utakuwa unajua madhara yake, ukiwa umeelimika utajua huwezi kufanya sex peku peku kwa sababu unaweza kupata magonjwa au unplanned pregnancies, ukiwa umeelimika.... the list goes on and on...
Watu wengi wana smart phones ambapo madhara ya energy drinks yameelezwa, lakini kwa kuwa simu matumizi makubwa ni kuzama kwa Mange Kimambi App, story za udaku, kubeti nk bado watu wanadai wapewe elimu. Hivi mbona hakuna aliyetoa elimu ya jinsi ya kubeti, kutafuta mademu au kupiga pombe?Watoe maelezo kitaalamu hizo energy drink zina chemical zipi ndani yake zinaopelekea kuharibu figo, sio kusema tu energy drinks zinaharibu figo.
Hii itasaidia sana watu wapate uelewa kwa upana zaidi.